Hatukatai kulipa Kodi na Tozo ila inauma sana pesa zetu kuliwa na Watu wachache. Serikali yetu muonee huruma Mama ntilie wa Itigi

Hatukatai kulipa Kodi na Tozo ila inauma sana pesa zetu kuliwa na Watu wachache. Serikali yetu muonee huruma Mama ntilie wa Itigi

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari wana JF ,

Serikali ya awamu sita imeonyesha dhamira njema katika kuleta maendeleo katika nchi yetu .
Hicho inakusanya kodi kwa nguvu zote na imeongeza kodi na Tozo Mbali mbali ,yote hiyo ni katika kuhakikisha pesa za maendeleo zinapatikana.

Haijaishia hapo imefanikiwa kupata mikopo mbali mbali nje na ndani ya nchi.

Swali linakuja je pesa zetu zinapita mikono salama?

Je huyu mama ntilie anaepata faida ya 4000 katika hiyo elfu 4, 500 inarudi serikalini kwa namna ya kodi au Tozo na jasho lake kuliwa na mtu au kundi la watu tunamtendea haki?

Serikali kodi na tozo tutalipa ila Pesa zetu zitunzwe ,zisiliwe na wachache na Tuone maendeleo .
 
Hao wachache wanakokula Kodi zenu ni kama kina nani?

Hoja yako haieleweki maana huyo mama ntilie anapata maji, barabara, huduma za afya nk kwa gharama nafuu sasa sijui ulitakaje
 
Habari wana JF ,Serikali ya awamu sita imeonyesha dhamira njema katika kuleta maendeleo katika nchi yetu .
Hicho inakusanya kodi kwa nguvu zote na imeongeza kodi na Tozo Mbali mbali ,yote hiyo ni katika kuhakikisha pesa za maendeleo zinapatikana .
Haijaishia hapo imefanikiwa kupata mikopo mbali mbali nje na ndani ya nchi .
Swali linakuja je pesa zetu zinapita mikono salama ?
Je huyu mama ntilie anaepata faida ya 4000 katika hiyo elfu 4, 500 inarudi serikalini kwa namna ya kodi au Tozo na jasho lake kuliwa na mtu au kundi la watu tunamtendea haki ?
Serikali kodi na tozo tutalipa ila Pesa zetu zitunzwe ,zisiliwe na wachache na Tuone maendeleo .
Hao Wa itigi ndo wanalipa Kodi zaidi ya wengine? Kama legacy imegoma kaa kimya.
 
Hao Wa itigi ndo wanalipa Kodi zaidi ya wengine? Kama legacy imegoma kaa kimya.
Jf ni home of great thinkers hivyo vitu vingine tunachukulia mnaelewa kwa urahisi .
 
Habari wana JF ,

Serikali ya awamu sita imeonyesha dhamira njema katika kuleta maendeleo katika nchi yetu .
Hicho inakusanya kodi kwa nguvu zote na imeongeza kodi na Tozo Mbali mbali ,yote hiyo ni katika kuhakikisha pesa za maendeleo zinapatikana.

Haijaishia hapo imefanikiwa kupata mikopo mbali mbali nje na ndani ya nchi.

Swali linakuja je pesa zetu zinapita mikono salama?

Je huyu mama ntilie anaepata faida ya 4000 katika hiyo elfu 4, 500 inarudi serikalini kwa namna ya kodi au Tozo na jasho lake kuliwa na mtu au kundi la watu tunamtendea haki?

Serikali kodi na tozo tutalipa ila Pesa zetu zitunzwe ,zisiliwe na wachache na Tuone maendeleo .
Mlipofurahia kifo cha JPM na kufurahia nchi kufunguliwa.

Sasa mnalalamika nini kufunguliwa?

"Mtanikumbuka"
john Pombe Magufuli
 
Back
Top Bottom