Hatumpangii Kocha ila nasi Mpira tunaujua vile vile hivyo tunaomba moja ya Squad hili lianze leo Kampala

Hatumpangii Kocha ila nasi Mpira tunaujua vile vile hivyo tunaomba moja ya Squad hili lianze leo Kampala

Hicho kikos A kinaitwa kama unafunga nami nafunga yaani ni simple kukifunga ila nacho kukizuia kisipate goli ni ngumu
 
Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.

Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.

Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.

Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
Hapo kati nani atafanya Ukabaji, Nani ataHOLD, Nani attrck mabeki wanaopanda..

Wangapi hapo siyo wakabaji?.

Kikosi A hakina balance ya attacking na defense.
 
Sanamu lako lijengwe kwa mkapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230225-184240.png
    Screenshot_20230225-184240.png
    244 KB · Views: 2
Technically inawezekana kabisa tena ndiyo ataisaidia Timu zaidi Kimashambulizi huku akisaidiana Kukaba na Mwenda. Tatizo lenu hamjui Mpira halafu mnakariri Maisha na Mifumo.

Mm hujijui, mm nimecheza mpira.
Umri wa Kapombe na vile achezavyo hawezi kucheza winga. Hiyo fullback anayocheza hawezi kupanda mara 3 ndani ya dk 30 kupiga kroos na kurudi kukaba..
 
Back
Top Bottom