3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Mkuu unataja hadi na msimu ambao amesotea bench na kumrank na mtu aliyecheza daily?Lukaku unamwona kibonde? Angalia stats zake. Kacheza ubelgiji msimu mmoja mechi 53 na magoli 29. Average 1.8.
Sammagoal wetu [emoji16] msimu 2015-16 (match 16 magoli 4). 2016-17 (match 35 goal 12) 2017-18 (match 30 goal 7) 2018-19 (match 38 goal 23). Tuseme msimu uliopita ndo ulikuwa msimu mzuri kwake. Lukaku premier league ana goal 113. Acha kufananisha lukaku wa 80m na huyo jamaa wa 10m. Wote wana 26yrs ila mbingu na nchi
Mbona husemi msimu ulioisha Samatta ana goli ngapi na Lukaku ana ngapi?... (Sina maana ya Lukaku mbovu kwa Samatta)