Mawazo yangu. Ligi kuu uingereza siyo ligi ya Belgium. Hamna team yakutoa 10m kwa mchezaji wa 25yrs kutoka ligi ya kawaida. He is a winner in a country of less than 3 professionals. Baki Genk piga uefa magoli kama ukiweza watakuona kina Aston Villa. Everton na Leicester ni team kubwa sana goal zao ni Europa.
Kumbe wanaomtaka hawajui anatoka wapi?.. niliemjibu amejua
Angekuwa top scorer ulaya yote Akapewa na boot ungehoji hapa kuwa yuko wapi au nongwa?
Acha kelele.. sio wote waliopo epl ni qualilty ya juu.UNajua unahitaji kufunga goli ngapi ligi ya Belgium ili kuwa sawi ki point goli la PL?
Samatta hayupo.JF halafu ana washauri wengi kuliko.wewe ambaye hata kwenye familia.yako huruhusiwi kutoa maoni so ushauri wako.utaishia hapahapa na utapuuzwa
Acha kelele.. sio wote waliopo epl ni qualilty ya juu.
Mbwana ana malengo yake hata Genk alisota kupata nafasi na kufanya poa.. (acheni ramli)
Sio sababu... wachezaji wazuri wengi wanatoka timu au ligi ndogo wanakuja kuwa na mastaa au kung'aa.Naweye acha ujinga. Kufungi magoli ligi ya lgium haijaalishi kuwa wewe ni quality. Hebu pita wafungaji wajuu wa ligi ya Beligium wa misimu iliyopita halafu utizame wapo walipo hivi sasa.
Sio sababu... wachezaji wazuri wengi wanatoka timu au ligi ndogo wanakuja kuwa na mastaa au kung'aa.
Akishindwa hawezi kukosa pakwenda hapo ulaya...(Kwa nini mnaogopa nyie wakati anacheza yeye)
Umekuwa mungu wa mafanikio ya watu mkuu?tupe mifano wachezaji wakigeni waliotoka ligi ya Belgium halafu wakawa wakafanya vizuri ulaya.
Hao wabelgium wenyewe wengi wao huondoka wakiwa wapo under 20.
umepuyanga arifu..... ni sawa na useme lukaku atasajiliwa na yanga ya tanzania kisa ipo championi ligi,,,,,,,, AU TUSEME LUKAKU NI PAUNDI MILIONI 12 KAMA SAMATA...Lukaku kwa sasa ni gharasa nani atoe iyo 80mil pound? Nyie ndio mliingizwa king na Everton mkalipa ayo mamilioni lakini kwa sasa hauziki uyo kaisha flop.
Mbingu na nchi kiaje? Samatta msimu huu anashiriki EUFA aya niambie uyo lukaku wako anashiriki nini
Hahaha lukaku ka flop sasa hivi; ukweli usemwe. Man utd ni timu kubwa sana kwa lukaku ndio mana nashindwa kudeliver.umepuyanga arifu..... ni sawa na useme lukaku atasajiliwa na yanga ya tanzania kisa ipo championi ligi,,,,,,,, AU TUSEME LUKAKU NI PAUNDI MILIONI 12 KAMA SAMATA...
Wakati kaongoza ufungaji Belgium?Sijui lakini, naona kama kiwango chake sio
Njoo ufute ujinga wako huku.Lukaku kwa sasa ni gharasa nani atoe iyo 80mil pound? Nyie ndio mliingizwa king na Everton mkalipa ayo mamilioni lakini kwa sasa hauziki uyo kaisha flop.
Mbingu na nchi kiaje? Samatta msimu huu anashiriki EUFA aya niambie uyo lukaku wako anashiriki nini
Njoo usome ulichoandikaSamatta popote anacheza maana yupo fit kimwili na kiakili...Anajituma na anajitunza...Ana nidhamu na malengo.
Njoo ufute pumba zakoTafuta tunguri ufungue kilinge cha ramli na unajimu