GANJA ROLLER
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 709
- 273
Hayo yalikuwa maelezo ya afisa elimu mmoja aliyekuja ofisni kwetu akimwelezea mwalimu aliyekuwa kaja ofisi kwetu kufatilia masuala ya mshahara wake kisha alipomwona afisa yule akaanza kumwomba mgao wa waalim pindi watakapolipot.Jamaa aligoma akdadai kidogo watakaofikiliwa ni wa sayansi ila nao ni kwa uchache.Akadai wamepewa maelekezo hayo yoka tamisemi.So we mwlim tarajal jipange kwenda pori