Hatupeleki ndugu zetu hispitali ili wakafe, Serikali ielewe hilo

Hatupeleki ndugu zetu hispitali ili wakafe, Serikali ielewe hilo

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Kuanzia utawala wa Magufuli Na huu wa Samia kuna hali moja ya kishetani sana inaendelea.

Mgonjwa wako akifa hata kwa uzembe wa madaktari utazuiliwa kuchukia mwili wa nduguyo hadi ulipe mamilioni.

Sisi hatupeleki wagonjwa wakafe, tunataka wapate afya na warudi nyumbani wakiwa wazima.

Idadi ya wetu wengi wanakufa kutokana na madaktari wetu Na sio magonjwa.

Viongozi wetu wanalijua hilo ndio maana wao wakiugua hawataki kabisa kutibiwa na madaktari wetu hawa ambao badala ya kukupasua kichwa wanakupasua mguu.

Serikali iachane kabisa Na kugeuza maiti kuwa dili.

CCM imeshindwa kabisa kutoa huduma Bora za kiafya, inatoa Bora huduma.

Msifanye mchezo Na afya za watu, afya ni uhai.
 
 
Kuanzia utawala wa Magufuli Na huu wa Samia kuna hali moja ya kishetani sana inaendelea.

Mgonjwa wako akifa hata kwa uzembe wa madaktari utazuiliwa kuchukia mwili wa nduguyo hadi ulipe mamilioni.

Sisi hatupeleki wagonjwa wakafe, tunataka wapate afya na warudi nyumbani wakiwa wazima.

Idadi ya wetu wengi wanakufa kutokana na madaktari wetu Na sio magonjwa.

Viongozi wetu wanalijua hilo ndio maana wao wakiugua hawataki kabisa kutibiwa na madaktari wetu hawa ambao badala ya kukupasua kichwa wanakupasua mguu.

Serikali iachane kabisa Na kugeuza maiti kuwa dili.

CCM imeshindwa kabisa kutoa huduma Bora za kiafya, inatoa Bora huduma.

Msifanye mchezo Na afya za watu, afya ni uhai.
Laana hii mkuu
 
Sasa hv mahospitali ni biashara kwanza afya ya mgonjwa baadae. Mungu atusaidie tu kwa kweli
Afya ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani. Serikali ya CCM inacheza Na afya za watanzania kwa kufanya afya ya wananchi ni kitega uchumi, wakati wao Na watoto wao hutibiwa ughaibuni.

Taifa la watu wenye afya duni ni taifa mfu
 
Sasa hv mahospitali ni biashara kwanza afya ya mgonjwa baadae. Mungu atusaidie tu kwa kweli
NI hatari sana kuzigeuza hospital za umma biashara. Hizi ni Hospitali zinazoendeshwa kwa kodi zetu. Tunatakiwa kuchangia matibabu Na si kuuziwa afya
 
Kuweni na shukurani ndugu zanguni kwa kazi kubwa na ya kutukuka inayofanywa na Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kazi ya kuzuia maiti za watu hohehahe? Haya madudu hayakuwepo huko nyuma. Magufuli na makamu wake ndiyo waliogeuza maiti za ndugu zetu kuwa chanzo chao cha mapato. Uovu na udhalimu uliopitiliza
 
Back
Top Bottom