Mambo switihati nimekumisi sio kipolepole jana usiku sijatia timu hapa ilikuwa siku ya pool/laga hope yo ok mi mzima.Usije nianzishia thread eti nakufataki lol!
ah ah ah nisipotongozwa ntajijuaje kama ni mzuri na bado nalipa?na Mungu alitulia ktk kunifinyanga?kwanza kwa kunitongoza kwako napata experience zaidi na ktk CV yangu mambo yanaongezeka,karibu sana mpz tutongozane!:smile-big:
Kiongozi,
Unapotea sana bana - Trust ME! Nilishakuwa na wasiwasi kama Trustme alikuwa anakuogelea wewe kuwa umemtongoza - Trust ME!
Sijui hii inaweza kuwa ni aina mojawapo ya utongozaji?
Well well pearl....mimi nakupendaga sana....umenivutia kila idara.....(ngoja nitafute desa langu, BRB)
hahahahaaa baba enock huyu mwenze2 anakimbia bahati wakati mi mwenzie kuna m2 mpaka nimemwambia gest nitalipa mwenyewe kanambia tangulia cjamwona toka saa 5 asbh kwi kwi kwi mkosi gani huu
Dear FirstLady1
Hapo penye red hujanitendea haki! Baba_Enock aka Paroko hapendezwi na watumishi wa bwana kuanza kutongozana kanisani - Wanaofanya hivyo washindweeeeeeeeee kwa Jina Lipitalo Majina Yoooooooooote!
BTW: Hivi unaweza kutongoza/kutongozwa kwenye PM? Nauliza tu!!
si unajua hata mi limoyo langu limekudondokea?ngoja na mm nikachukue desa langu la kujimbu huo mtongozo wako swty!
si unajua hata mi limoyo langu limekudondokea?ngoja na mm nikachukue desa langu la kujimbu huo mtongozo wako swty!
Ha ha ha mbona wewe siku ile hukunitongoza au sivutiii nini bacha
SINGO AND NOT SEARCHING!
Hilo Desa la nini tena Pearl??!!
Tatizo una busara sana ndio maana wanakuogopa na kukukimbia...........
Yaani hapa hata netweki ya kichwa inaanza kupotea...nadhan imehamia pande za huko kwako......ngoja nikapate nyagi na jani...brb
sasa itakuaje paka nitakimbiwa mpaka lini na uzee waja kwa kasi hata kunidanganyishia tu hawataki Mwe
kumbuka una wajukuu!!!!!!!
SINGO AND NOT SEARCHING!
Hilo Desa la nini tena Pearl??!!
Mhandisi hebu nipishe kidogo.....usihoji..
Nikishampata pearl ntakuja kwako....rest assured!
ikihamia kwangu hakuna mby tena bora hiyo ya kichwa ikikata ntairekebisha kuliko ile ya kichwa cha chini ikikata mpaka nianze kuimba kasimama peke yake kamuona mchumba wake ni leo?
sasa itakuaje paka nitakimbiwa mpaka lini na uzee waja kwa kasi hata kunidanganyishia tu hawataki Mwe