Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

lol afasali moyo wangu umetua, lakini mpaka tuonane maana inawezekana ukiniona ukanikana lol hz pm wala siziamini

Ngoja nikutumie picha yangu.....cheki pm
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija :A S thumbs_down:

Dah kazi wanayo leo zamu yao walituonea sana
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

wewe mtongozwaji TRUSTME,
mbona sikuoni hapa na mikao yako ya kutongozwa?
 
Mie pia nashangaa sijui nina kasoro gani lol?
Hivi kuna watu wasipotongozwa week wanaenda kwa karumanzira au shekhe Yahaya kusoma nyota.

duuhh
ndugu yangu hawa wanaume siku hizi wanachagua sana dear

sijui uwe na umbo number nane, sijui braaa DD, mmhh mambo ya GYM..
mie borea nijikalie tu mwenyewe..

mmhhh kwa kweli hata Shekhe Yahaya hawezi saidia mtu kama mie..
jaribu mwaya kama ya fanya kazi utudokeze lol
 
UOTE=Dena Amsi;1515294]Dah kazi wanayo leo zamu yao walituonea sana[/QUOTE]

hahahaaaaaaaaa leo wapole wajasiri tu ndio wameingia humu wote wasioingia kumbe ndio watongozaji eeeeeeeeeee kwi kwi kwi kwi hii thread kiboko lo
 
hahahaaaaaaaa body language tu yatosha



habari yake kutongozwa bana ngoja na mimi nijiunge labda nitatongozwa safari hii

Hivi Maty, katika kutongozana,
inabidi kila upande uwe unamsikiliza mwenzake between lines au?
 
Huwa mnakutana wapi? na mimi ningepanda kuwepo ili kubadilishana mawazo na wenzangu, nadhani ni jambo muhimu sana.
 
Sasa mbona mi sijawahi kuahidiwa Rav4,au wanaangalia na sura??:crying::crying:
kama yeye and Range ya atataka tena kumpa rav4,huwezi jua mambo ya bi Trustme Mwita???? 😛lane:😛lane:

Ndio maana mi nikasema hii habari ni ya upande mmoja, huenda kuna mengi yamejificha na bi shosti hajatushirikisha. Na wadada wengi wakitongozwa ndo wanajisikia raha, hasa wakimpa mtu za uso, patamu hapo:crying:

Kama hujawahi kuahidiwa gari zamu yako haijafika, ama umejifungia sana kiasi cha kuwa not richabo. Kwa jinsi navyokuona kupitia avatar yako lazima tu ungeshaahidiwa gari, kama sivyo basi una majibu makali kwa wababa!!ukipunguza ukali kidogo, ukavaa unyenyekevu na upole wa kitanzania haswaa kama dada zangu wabena utapata gari soon.:smile-big:
 
duuhh mie sura chachu napenda rugby kila mwanume ananikimbia lol
hahahahah :crying:
Kama ni rugby wala usihofu mi nilikuwa scrumhalf wa Mwamba RFC-Nairobi nilipokuwa nasoma huko miaka ya nyuma napenda Allblacks wa New zealand.
 
Back
Top Bottom