Hatutaki tena ardhi tunataka intermarriage Zanzibar

Hatutaki tena ardhi tunataka intermarriage Zanzibar

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Wasaalamu, wakati mwingine pombe huwa na busara yake tunamalizia weekend ili kesho tukatumikie taifa tunataka kuondoka jamaa amekuja hapa ametupa one for the road, pia amekuja na mada ambayo pamoja na kwamba tuko bwah binafsi kama nimemuelewa hivi, anasema ardhi tanzania bara inaukubwa wa kilometa za mraba laki Tisa na elfu arobaini na saba..

Na sehemu kubwa haijatumika, ila watu wanang'ang'ania haki ya kumiliki ardhi kule zanzibar ambayo ni just kilometa za mraba ambazo ni sawa na ka mkoa kamoja tu cha huku bara...mi Nadhani ingekuwa bora tungeomba sheria ya muingiliano wa ndoa yaani intermarriage, japo kuwa kwa sasa haina restrictions but ni ngumu kuoa mzanzibar ambao wengi huwa wanavutia, wanajua kupika, wanaswali...kwa mfano mimi nikimpata mmoja wallah ntaacha pombe.

Muhudumu lete ya mwisho kesho kazini...ardhi nendeni mkanunue mashamba mkuranga, vikindu...busara za mlevi
 
Mwarabu Koko mmoja wa kipemba anamimba yangu na anang'ang'ana nimuowe awe hata mke wa pili japo dini hainiruhusu. Hio sheria ya nn Sasa
 
Wazanzibar lazima uolewe na bikra wenyewe wameamua kurahisisha wanatatua Malinda wanaacha bikra 🥺
 
Mwarabu Koko mmoja wa kipemba anamimba yangu na anang'ang'ana nimuowe awe hata mke wa pili japo dini hainiruhusu. Hio sheria ya nn Sasa
Huyo ukimuoa baada ya miezi sita ataanza kudai talaka akaolewe na mwarabu au mpemba mwenzie nyumba ya pili
 
Hatutaki kuharibu mbegu oawaneni wenyewe bara huko
 
Wapemba wengi hawana mizigo...wamepigwa pasi
 
Wazazi wao wanachoangalia uwe muislam,gari na nyumba mapema ushapewa mke,,,na hii imefanya hata watoto wao wakiume kuoa wanawake wa huku,kwasababu ya mashart yao smh.
 
Nikipata binti wa kizanzibar narudisha kadi ya chamaa kikuu cha kuset agenda za ndoa ie kataa ndoa
 
Back
Top Bottom