Pre GE2025 Hatutamchagua kiongozi yeyote kwa sababu ya kujenga madaraja na mashule ama mahospitali ,tutamchagua kwa ajili ya kulinda uhai wetu na watoto wetu ,

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hali inakoelekea tunakosa mtu sahihi wa kusimama nasisi ikiwa kiongozi anasema hajui chochote hata wakati ambao raia wake wanauwawa hafai kuchaguliwa hata kama atafanya maendeleo makubwa namna gani!

Kiongozi aliyetayari kulinda cheo chake kulikoni kulinda uhai wa raia wake si tu kwamba hatufai Bali ni kipofu ! Kiongozi anayelinda chama chake kuliko kuwalinda binadamu hatufai.

Ni kweli tunataka maendeleo lakini msingi wa maendeleo yenyewe iwe ni ulinzi wa amani na usalama kwa Kila raia
 
Nimeyapokea mwazo yako kwa shukurani, noted with thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…