Mgogoro wa wafanyabiashara Kariakoo unatokana kwa kiasi flani na mazoea ya viongozi wetu kuendesha nchi kwa matamko ya jukwaani. Tangu lini tamko la kiongozi jukwaani likawa sheria?
Jambo kubwa kama ukusanyaji wa kodi na msamaha wa kodi kwa miaka 3-5 linatamkwa tu jukwaani bila maandishi yoyote?
Wanasiasa acheni hovyo hii mnasababisha hasara na vurugu nchini. Mnaacha kuweka utaratibu mzuri wa kukusanya kodi halafu mnakimbilia kukopa matrilioni nje huku mnaacha pesa inazagaa nchini! Viongozi wa Tanzania acheni uzembe na uvivu.
Jambo kubwa kama ukusanyaji wa kodi na msamaha wa kodi kwa miaka 3-5 linatamkwa tu jukwaani bila maandishi yoyote?
Wanasiasa acheni hovyo hii mnasababisha hasara na vurugu nchini. Mnaacha kuweka utaratibu mzuri wa kukusanya kodi halafu mnakimbilia kukopa matrilioni nje huku mnaacha pesa inazagaa nchini! Viongozi wa Tanzania acheni uzembe na uvivu.