Hatuwezi kuendelea kuilaumu Kenya na Mabeberu kwa matatizo binafsi ya Tanzania: 'We are paying the price of our own Wrongdoings!'

Nimesoma "Heading" ya mada yako ni mbovu; sijasoma yaliyomo kwenye mada, lakini kwa kuangalia hizo 'charts' pekee, unastahili kujibiwa bila mihemuko.

Niseme haraka, kwamba GDP sio kipimo cha kila kitu. Tunaweza kuanzia hapo.

Lakini kwa sasa, kichwa cha habari yako ni kibovu.; kwa sababu hakuna anaye ilalamikia Kenya kwa lolote.
 
Absolutely, ni kama vile Magufuli alikuwa mhanga wa ufahamu finyu wa namna sekta binafsi inafanya kazi na namna gani inasaidia kukuza uchumi. Ndo maana aliona ni sawa tu kuwamwagia nyongo wawekezaji maana yeye aliamini hata serikali inaweza ikafanya biashara. Yaani mawazo ya Magufuli na mtizamo wake juu ya uchumi na ukuaji wake, ni ideology ya miaka ya sabini na themanini kama walivoamini akina Nyerere na Sokoine.
 
Unasema heading ni mbovu lakini husemi sababu kwanini ni mbovu.. Hii pekee inaonesha ni jinsi gani fikra zako zimekuwa finyu na subjective.

Unaangalia charts halafu hujasoma yaliyomo... pamoja na kujipa jina la 'Kalamu' ila unakuwa mvivu wa kusoma.... hapo hapo unasema GDP sio kipimo cha kila kitu! ..... Kuna makosa mengine ukiyafanya unamdhalilisha mpaka mzazi wako.

Unasema hakuna aliyelalamika kuhusu Kenya na Mabeberu... mimi nna mifano hai ya viongozi wa nchi hii na ntaweka hapa baadhi ya nyuzi hata hapa jamvini ambao wamekuwa wakilalamikia Kenya na Mabeberu...

Kama unataka mpambano wa hoja, njoo na facts tupambane..
 
We uoni wanyonge still awajui umuhimu wa matajiri.
 
Tutaongea mkuu.
 

..how about ease of farming?

..au ease of raising cattle?

..pamoja na ease of doing business tuongeze vipengele hivyo viwili hapo juu.

..pia productivity ya wakulima, wafugaji, na wavuvi, inaongezeka kwa kiasi gani hapa Tz?
 
Hayupo..ndo maana atleast kuna imani kuwa tutakaa sawa..point yangu ilikuwa ni kwamba 5yrs ni mingi,damage yake ni kubwa..kama angeliwa kichwa mapema isingekuwa kama hivi sasa.
Damage ilikuwa kubwa mnoo.. ila hata sasa, kama Tanzania bado serikali haitaboresha sheria kandamizi.. gap kati ya Tanzania na Kenya litazidi kukua maana ni kwamba sisi tunatambaa wao wanakimbia
 
Kulikuwepo na jamaa anaitwa Kalamu, halafu akapotea. Alikuwa yuko vizuri sana...Sasa ndipo akaja huyu Kalamu1, sidhani kama ndiye yule yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…