Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tanzania inatatizo la mfumo la kuendesha kwa kutegemea mawazo ya Rais pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mambo ya hovyo snNi kama vile mfumo wa kijamaa ume corrupt akili za watanzania. Na hilo ndo tatizo maana mpaka leo hata katiba yetu bado inasema hii ni nchi ya Kijamaa. Ndo maana unakuwa na Rais haoni umuhimu wa private sekta,,, na hiyo inaenda mpaka kwenye mawazo na mtizamo wa wananchi.
Ongezea na hili :
Hadi Magufuli anaingia, balance of trade ilikuwa inaelekea kuwa chanya. Kikwete aliacha imports za 14.6 tr (na zilikuwa na trend ya kupungua from 18.5 tr mwaka 2013) na exports za 12.4 tr (na zilikuwa zikiongezeka kutoka 8.9 tr mwaka 2013). Kwa hiyo balance ilitoka -9.6 tr mwaka 2013 hadi -2.2 tr mwaka 2015
Ila tukajiharibia wenyewe mazingira ya biashara na kufukuza wawekezaji wa kigeni na wengine wazawa. Wakaondoka na mitaji yao na ujuzi wao wakapeleka kwingine ikiwemo Kenya. Matokeo yake import hazikubadilika sana, zilishuka kidogo kuja kuwa 12.6 tr kutoka 14.6 tr alizoziacha kikwete na uuzaji wa bidhaa nje ulipungua sana kutoka 12.4 tr alizoacha hadi kufika 6.2 tr mwaka 2020 !!!! Balance ya biashara ilitoka -2.2 tr mwaka 2015 kuja -6.4 tr !!!
Kwa maana nyingine ni kuwa sera ya viwanda ilikuwa ni maneno matupu huku kiongozi wa juu hajui hata namna ya kuhuisha viwanda. Hivi tunawezaje kusema uchumi wetu ulikuwa ukikua wakati viashiria vyote vilikuwa vikionesha kwamba tunarudi nyuma??
Source: TheChanzo
Uagizaji na uuzaji bidhaa kutoka nje
Unasema heading ni mbovu lakini husemi sababu kwanini ni mbovu.. Hii pekee inaonesha ni jinsi gani fikra zako zimekuwa finyu na subjective.Nimesoma "Heading" ya mada yako ni mbovu; sijasoma yaliyomo kwenye mada, lakini kwa kuangalia hizo 'charts' pekee, unastahili kujibiwa bila mihemuko.
Niseme haraka, kwamba GDP sio kipimo cha kila kitu. Tunaweza kuanzia hapo.
Lakini kwa sasa, kichwa cha habari yako ni kibovu.; kwa sababu hakuna anaye ilalamikia Kenya kwa lolote.
Tungekuwa tuna mifumo mizuri jpm angeliwa kichwa mapema tu maana asingevumiliwa aendelee kuharibu mambo.Tanzania inatatizo la mfumo la kuendesha kwa kutegemea mawazo ya Rais pekee
Kwani sahivi yupo?Tungekuwa tuna mifumo mizuri jpm angeliwa kichwa mapema tu maana asingevumiliwa aendelee kuharibu mambo.
Pamoja sana mkuuMkuu umetema nondo sana...chapisho bora kabisa.
We uoni wanyonge still awajui umuhimu wa matajiri.Ni kama vile mfumo wa kijamaa ume corrupt akili za watanzania. Na hilo ndo tatizo maana mpaka leo hata katiba yetu bado inasema hii ni nchi ya Kijamaa. Ndo maana unakuwa na Rais haoni umuhimu wa private sekta,,, na hiyo inaenda mpaka kwenye mawazo na mtizamo wa wananchi.
Hayupo..ndo maana atleast kuna imani kuwa tutakaa sawa..point yangu ilikuwa ni kwamba 5yrs ni mingi,damage yake ni kubwa..kama angeliwa kichwa mapema isingekuwa kama hivi sasa.Kwani sahivi yupo?
Tutaongea mkuu.Unasema heading ni mbovu lakini husemi sababu kwanini ni mbovu.. Hii pekee inaonesha ni jinsi gani fikra zako zimekuwa finyu na subjective.
Unaangalia charts halafu hujasoma yaliyomo... pamoja na kujipa jina la 'Kalamu' ila unakuwa mvivu wa kusoma.... hapo hapo unasema GDP sio kipimo cha kila kitu! ..... Kuna makosa mengine ukiyafanya unamdhalilisha mpaka mzazi wako.
Unasema hakuna aliyelalamika kuhusu Kenya na Mabeberu... mimi nna mifano hai ya viongozi wa nchi hii na ntaweka hapa baadhi ya nyuzi hata hapa jamvini ambao wamekuwa wakilalamikia Kenya na Mabeberu...
Kama unataka mpambano wa hoja, njoo na facts tupambane..
Yap
Na mimi huwa nafikiri kama wewe, Tanzania ni resource rich, ikiwa tutaweza kutumia tu hizi rasilimali, uchumi lazima utoke kwenye hizi levels.
Changamoto ndo kama hizo sasa kwamba... ease of doing business in Tanzania bado ipo weak, so mwisho wa siku inaua motive ya investment kwenye natural resources, mwisho was siku unajikuta tuna resources lakini nchi bado ni masikini.. ni vitu kama hivo yani
Hapo sawaHayupo..ndo maana atleast kuna imani kuwa tutakaa sawa..point yangu ilikuwa ni kwamba 5yrs ni mingi,damage yake ni kubwa..kama angeliwa kichwa mapema isingekuwa kama hivi sasa.
Nakusubiri mkuuTutaongea mkuu.
Damage ilikuwa kubwa mnoo.. ila hata sasa, kama Tanzania bado serikali haitaboresha sheria kandamizi.. gap kati ya Tanzania na Kenya litazidi kukua maana ni kwamba sisi tunatambaa wao wanakimbiaHayupo..ndo maana atleast kuna imani kuwa tutakaa sawa..point yangu ilikuwa ni kwamba 5yrs ni mingi,damage yake ni kubwa..kama angeliwa kichwa mapema isingekuwa kama hivi sasa.
Mfumo wa ujamaa umefanya mtu kuwa masikini kuonekana ni sifa njema.We uoni wanyonge still awajui umuhimu wa matajiri.
Kulikuwepo na jamaa anaitwa Kalamu, halafu akapotea. Alikuwa yuko vizuri sana...Sasa ndipo akaja huyu Kalamu1, sidhani kama ndiye yule yule.Unasema heading ni mbovu lakini husemi sababu kwanini ni mbovu.. Hii pekee inaonesha ni jinsi gani fikra zako zimekuwa finyu na subjective.
Unaangalia charts halafu hujasoma yaliyomo... pamoja na kujipa jina la 'Kalamu' ila unakuwa mvivu wa kusoma.... hapo hapo unasema GDP sio kipimo cha kila kitu! ..... Kuna makosa mengine ukiyafanya unamdhalilisha mpaka mzazi wako.
Unasema hakuna aliyelalamika kuhusu Kenya na Mabeberu... mimi nna mifano hai ya viongozi wa nchi hii na ntaweka hapa baadhi ya nyuzi hata hapa jamvini ambao wamekuwa wakilalamikia Kenya na Mabeberu...
Kama unataka mpambano wa hoja, njoo na facts tupambane..