imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Zile 4R ulikuwa ni ULAGHAI wa Samia na Kinana.Naam 4r zimewaumbua walokuwa wakishadadia maridhiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile 4R ulikuwa ni ULAGHAI wa Samia na Kinana.Naam 4r zimewaumbua walokuwa wakishadadia maridhiano.
Inatia matumainiMimi ninacho furahi ni kwamba watu wameanza kuamka, angalau kuna vitu wameanza kuviona haviendi sawa wanavipinga japo ni mitandaoni. Mdogo mdogo tu hata vita za dunia zilianza na maneno maneno mpaka kufikia hatua ya kuanza kuchapana. CCM ataondoka tu siku zinakuja hii nchi ni yetu sote sio mali ya kikundi.
😃😃Zile 4R ulikuwa ni ULAGHAI wa Samia na Kinana.
Kaka TAL ataitubu nchi pia.Naunga mkono hoja, na ndio maana nina msupport TAL, japo ni mropokaji, ndie baniani mbaya, kiatu chake ndio dawa pekee ya kuitibu Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
HakikaMwalimu angelikuwepo leo angekuwa ni Team Lissu.
Atainyoosha kuliko JPM, kuna vitu TAL anafanana na JPM Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA na kuna vitu TAL ni zaidi JPM Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!Kaka TAL ataitubu nchi pia.
Mkuu ni lini ccm ilisajiliwa kama chama cha siasa kwenye mfumo wa vyama vingi?Mkuu Makulu, MAKULUGA , mimi sio CCM mkereketwa na mfurukutwa, mimi ni wale CCM by default, tulioingia CCM kwa mujibu, enzi za chama kimoja, na kujikuta tunaendelea CCM kwasababu ndicho chama pekee, chama kwa maana ya chama!. Tanzania tuna chama cha siasa kimoja tuu, the one and only!.
P
....tena Dume kweli kweli ndio maana hakina matunda ya kueleweka!Hapana, hii ni kitu kinachoitwa the plain bitter reality, yaani ukweli mchungu, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, chama dume na chama dola.
P
Upole kuna wakati hauleti mabadiliko hata nyerere alishasema kuhusu uhuru wa Africa. Mnao sema Nyerere alileta amani mjue kwamba amani inakuja na haki. Bila haki hakuna amani
View: https://youtube.com/shorts/7M_wnltQWao?si=h3MmufJZ-Np0mcJx
Mkuu Makulu, MAKULUGA , mimi sio CCM mkereketwa na mfurukutwa, mimi ni wale CCM by default, tulioingia CCM kwa mujibu, enzi za chama kimoja, na kujikuta tunaendelea CCM kwasababu ndicho chama pekee, chama kwa maana ya chama!. Tanzania tuna chama cha siasa kimoja tuu, the one and only!.
P