Hatuwezi kupata uhuru wa katiba na demokrasia bila kuwa radical. Upole umetushinda

Inatia matumaini
 
Mkuu ni lini ccm ilisajiliwa kama chama cha siasa kwenye mfumo wa vyama vingi?
 
Hapana, hii ni kitu kinachoitwa the plain bitter reality, yaani ukweli mchungu, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, chama dume na chama dola.
P
....tena Dume kweli kweli ndio maana hakina matunda ya kueleweka!
 
Upole kuna wakati hauleti mabadiliko hata nyerere alishasema kuhusu uhuru wa Africa. Mnao sema Nyerere alileta amani mjue kwamba amani inakuja na haki. Bila haki hakuna amani


View: https://youtube.com/shorts/7M_wnltQWao?si=h3MmufJZ-Np0mcJx
Mtu mwenye radical views kwenye siasa ni yule mwenye maoni na vitendo ambavyo vina utofauti na maoni na vitendo vya kawaida kwenye jamii. Haitoshi tu kuwa radical kwenye kuchochea mabadiliko kikatiba na kidemokrasia kwasababu tafiti za kutosha zinazo ainisha mapungufu ya katiba iliyopo ni muhimu zaidi. Mapungufu haya yaliyotolewa tafsiri ndiyo yanaweza kuwaleta wahusika mezani
 


Huo ndiyo uzalendo wengi hapa hatuna vyama lakini tunapenda nchi yenye demokrasia na haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…