1. Watumishi wote wa Umma wanatakiwa kupata Increment kila ifikapo tarehe 1, ya mwezi July kila mwaka. Kwa nini hawajapata hiyo Increment wakati Budget ilipangwa na kupitishwa Bungeni? Hizo fedha za Increment za mwezi huu amechukua nani na kwa misingi gani?
Tunataka majibu ya haraka na yenye ukweli vinginevyo tunaipeleka serikali mahakamani kwa kuvunja masharti ya mkataba.
2. Upandishaji madaraja mwaka huu ni tofauti kabisa na miaka mingine.
Kuna watu walianza kazi mwaka 2003, hawajapandishwa daraja lakini walioanza kazi mwaka 2009 wamepandishwa madaraja, kwa hiyo walioanza kazi mwaka 2003 na walioanza kazi mwaka 2009 wapo sawa na hawa wote wana sifa zinazolingana.
Kwa hiyo, kama hawatafanya marekebisho, tunaazimia kwenda mahakamani kutafuta haki. Serikali hii ina shida gani lakini.
Mimi na wenzangu tumedhamiria kutafuta ya watumishi hawa.
Kwa sasa tunaendelea kutafuta mawakili wasomi ili kuipeleka serikali mahakamani.
Tunataka majibu ya haraka na yenye ukweli vinginevyo tunaipeleka serikali mahakamani kwa kuvunja masharti ya mkataba.
2. Upandishaji madaraja mwaka huu ni tofauti kabisa na miaka mingine.
Kuna watu walianza kazi mwaka 2003, hawajapandishwa daraja lakini walioanza kazi mwaka 2009 wamepandishwa madaraja, kwa hiyo walioanza kazi mwaka 2003 na walioanza kazi mwaka 2009 wapo sawa na hawa wote wana sifa zinazolingana.
Kwa hiyo, kama hawatafanya marekebisho, tunaazimia kwenda mahakamani kutafuta haki. Serikali hii ina shida gani lakini.
Mimi na wenzangu tumedhamiria kutafuta ya watumishi hawa.
Kwa sasa tunaendelea kutafuta mawakili wasomi ili kuipeleka serikali mahakamani.