Hatuwezi kuunga mkono jambo la nyongeza ya mshahara

Hatuwezi kuunga mkono jambo la nyongeza ya mshahara

Sekta za umma mafanikio itabaki kuwa ndoto kila mwaka, huwezi kuumiza watumishi wako then utegemee wafanye kazi kwa moyo na bidii, kama mwajiri anavunja sheria kwa makusudi mtumishi atafanyaje kazi kwa moyo itabaki tu kufunika kombe mwanaharamu apite.
 
Njombe mji wote wamepandishwa madaraja,ni suala la uzembe na uharaka wa afisa utumishi wako.
 
1. Watumishi wote wa Umma wanatakiwa kupata Increment kila ifikapo tarehe 1, ya mwezi July kila mwaka. Kwa nini hawajapata hiyo Increment wakati Budget ilipangwa na kupitishwa Bungeni? Hizo fedha za Increment za mwezi huu amechukua nani na kwa misingi gani?

Tunataka majibu ya haraka na yenye ukweli vinginevyo tunaipeleka serikali mahakamani kwa kuvunja masharti ya mkataba.

2. Upandishaji madaraja mwaka huu ni tofauti kabisa na miaka mingine.

Kuna watu walianza kazi mwaka 2003, hawajapandishwa daraja lakini walioanza kazi mwaka 2009 wamepandishwa madaraja, kwa hiyo walioanza kazi mwaka 2003 na walioanza kazi mwaka 2009 wapo sawa na hawa wote wana sifa zinazolingana.

Kwa hiyo, kama hawatafanya marekebisho, tunaazimia kwenda mahakamani kutafuta haki. Serikali hii ina shida gani lakini.

Mimi na wenzangu tumedhamiria kutafuta ya watumishi hawa.

Kwa sasa tunaendelea kutafuta mawakili wasomi ili kuipeleka serikali mahakamani.
lianzishe tupo pamoja
 
Hahahahha umewawahi mapema,
Kabla hawajaanza kuja na kelele zao za gen Z ya Tz ni mbovu sijui imelala 🤣🤣🤣
Hahahaha. Gen unidentified ya mishahara ya kibongo ndiyo imeshakufa kabisa. Hai-exist.
 
1. Watumishi wote wa Umma wanatakiwa kupata Increment kila ifikapo tarehe 1, ya mwezi July kila mwaka. Kwa nini hawajapata hiyo Increment wakati Budget ilipangwa na kupitishwa Bungeni? Hizo fedha za Increment za mwezi huu amechukua nani na kwa misingi gani?

Tunataka majibu ya haraka na yenye ukweli vinginevyo tunaipeleka serikali mahakamani kwa kuvunja masharti ya mkataba.

2. Upandishaji madaraja mwaka huu ni tofauti kabisa na miaka mingine.

Kuna watu walianza kazi mwaka 2003, hawajapandishwa daraja lakini walioanza kazi mwaka 2009 wamepandishwa madaraja, kwa hiyo walioanza kazi mwaka 2003 na walioanza kazi mwaka 2009 wapo sawa na hawa wote wana sifa zinazolingana.

Kwa hiyo, kama hawatafanya marekebisho, tunaazimia kwenda mahakamani kutafuta haki. Serikali hii ina shida gani lakini.

Mimi na wenzangu tumedhamiria kutafuta ya watumishi hawa.

Kwa sasa tunaendelea kutafuta mawakili wasomi ili kuipeleka serikali mahakamani.
Kesi ya nyani inaenda kusikilizwa na ngedere.Mahakama ni za come,mawakili ni wa ccm,majaji ni wa ccm,wasikilizaji wa kesi ni wa ccm,katiba ni ya ccm na vyombo vya habari kuanzia clouds media group,Channel ten na nyinginezo zote zipo ndani ya cobweb ya ccm sitegemei kuwaona ninyi mkishinda.
NB:Mahakama za Tanzania zinafanya kazi kwa maelekezo kutoka juu na siyo kutoka kwenye katiba
 
Back
Top Bottom