Mtu mzima kwenda kupiga foleni kujiqndikisha wakati unatakiwa utafute hela hii nayo ni shida.ukimwengu wa kidigitali jamani.
Tehama watengeneze namna mtu anaweza kujiqndikisha online na kuoiga kura online
Kwanza wasomi ndiyo tuna uwezo wa kuchagua kiongozi.sasa wa darasa la Saba au chini ya hapo anajua maana ya kiongozi kweli?akipewa debe la mahindi anaona amepewa dili😂😂😂😂😂
Tehama watengeneze namna mtu anaweza kujiqndikisha online na kuoiga kura online
Kwanza wasomi ndiyo tuna uwezo wa kuchagua kiongozi.sasa wa darasa la Saba au chini ya hapo anajua maana ya kiongozi kweli?akipewa debe la mahindi anaona amepewa dili😂😂😂😂😂