Hautaki kumwaga haraka? Fanya hivi

Pombe tumia Kwa kiasi,
Angalau Kwa wiki mara moja na usizidishe mpaka mwili uka-knockout
Hapo kwenye kutumia sawa ila mara moja kwa wiki huo ni uongo Boss maana mwenyewe bila k vant ndogo usingizi hauji kabisa[emoji3]
 
😂😂
Hiyo ni Kwa wale wenye matatizo ya kukojoa haraka.
Ni ishu ya tiba Mkuu
Wakati unatoa hilo somo kwa hao watu wanaowahi kumwaga, usisahau pia kuna wale wenzangu na mimi ambao hata jogoo kuwika tu, hawiki!

Hivyo wanaposoma mada kama hizi, huwa wanajisikia vibaya sana. Maana wanajiona kama wamenyimwa kitu muhimu sana katika maisha. Au rafiki yangu cocastic nasema uongo?
 

Hawa kesi Yao ni ngumu kidogo. Wawaone wataalamu wa afya
 
Zama zimebadilika

wanaume tumegeuzwa kuwa chombo cha starehe
 
Nachukua nots
 
Naongezea,

1.Kunywa glas moja maji baridi pale unapoanza tendo, I mean ule mda ambao uko sexually aroused

2. Ukiona umeshindwa sana kujizuia kumwaga basi wamwage nje, hii itakusaidia uweze kurudia tendo ndani ya dakika 3 au mbili
kwanini Maji baridi mkuu?
 
jojo ndo nini mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…