saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We bwege Zitto aba uwezo mkubwa kuliko huyo Makengeza wenu. ACT-Wazalendo ni sehemu ya serikali ya SMZ. Mbowe alisafiria nyota za watu. Kwani hiyo CHADOMO ina nini sahvi baada ya vichwa kuondoka? Vichwa vilikuwa kina Dr. Slaa.Humu jf kwasasa kumejaa mandondocha sn aisee, yan huyo zitto alikuwa na nn hasa kikubwa cha kuifksha chadema hapo? Sasa kama alikuwa na uwezo mkubwa hvyo huo uwezo mbona kashndwa uonyesha huko aliko? BILA MBOWE TUSNGEWAONA AKNA ZITO, MDEE, SUGU, LEMA, HECHE, MNYIKA nk na wengneo walionunuliwa na maccm.