Hauwezi kutaja historia ya Lowassa bila kuitaja Chadema vile vile hauwezi kutaja historia ya Chadema bila kumtaja Zitto Kabwe

Hauwezi kutaja historia ya Lowassa bila kuitaja Chadema vile vile hauwezi kutaja historia ya Chadema bila kumtaja Zitto Kabwe

Humu jf kwasasa kumejaa mandondocha sn aisee, yan huyo zitto alikuwa na nn hasa kikubwa cha kuifksha chadema hapo? Sasa kama alikuwa na uwezo mkubwa hvyo huo uwezo mbona kashndwa uonyesha huko aliko? BILA MBOWE TUSNGEWAONA AKNA ZITO, MDEE, SUGU, LEMA, HECHE, MNYIKA nk na wengneo walionunuliwa na maccm.
We bwege Zitto aba uwezo mkubwa kuliko huyo Makengeza wenu. ACT-Wazalendo ni sehemu ya serikali ya SMZ. Mbowe alisafiria nyota za watu. Kwani hiyo CHADOMO ina nini sahvi baada ya vichwa kuondoka? Vichwa vilikuwa kina Dr. Slaa.
 
sina muda mchafu wa kubshana na machawa mimi, umeme hakuna, maji hakuna, elimu ya hovyo, ajira hakuna, katiba ya hovyo, viwanda alivyoacha mwl nyerere vyote vlimalizwa na majitu yaliyoko ccm, mashirika ya umma yote hovyo halafu nibshane na jitu linalosfia ccm na maviongoz yake.
We unaumwa nenda katibiwe
 
sina muda mchafu wa kubshana na machawa mimi, umeme hakuna, maji hakuna, elimu ya hovyo, ajira hakuna, katiba ya hovyo, viwanda alivyoacha mwl nyerere vyote vlimalizwa na majitu yaliyoko ccm, mashirika ya umma yote hovyo halafu nibshane na jitu linalosfia ccm na maviongoz yake.
Ahahahahaha! Ndondocha naona umehamisha magoli! Ahahahahaha!!!
 
Chadema acheni unafiki, huyo Lowassa hana historia yoyote kwenye chama chenu acheni kujikomba
 
Bila unafiki na wala kupepesa macho ukweli usemwe tu Zitto Kabwe ndiye role model wa vijana wengi sana kuingia kwenye Siasa yaani kile kipindi ambacho Zitto yuko kwenye prime yake vijana wengi sana walivutia kuingia kwenye Siasa na sio vijana tu hata wazee walikuwa wanaelewa jamaa alichokuwa anafanya aisee

Zitto ndiye amechangia CHADEMA kufika hapo ilipo na kwa ushujaa wake zitto ameweza kutengeneza Chama cha ACT wazalendo moja ya chama kinachokuja kwa kasi sana Tanzania ni baada ya Chadema kuna ACT wazalendo. Tujaribu kumpa pongezi zake tusisubiri mpaka afe ndiye tumpongeze tuache unafiki kabisa

Wale haters samahanini sana.
Sisi tumesha kusamehe bure ndugu Mkunga,Ngariba sasa utuambie ngapi hukooo🤓
 
Bila unafiki na wala kupepesa macho ukweli usemwe tu Zitto Kabwe ndiye role model wa vijana wengi sana kuingia kwenye Siasa yaani kile kipindi ambacho Zitto yuko kwenye prime yake vijana wengi sana walivutia kuingia kwenye Siasa na sio vijana tu hata wazee walikuwa wanaelewa jamaa alichokuwa anafanya aisee

Zitto ndiye amechangia CHADEMA kufika hapo ilipo na kwa ushujaa wake zitto ameweza kutengeneza Chama cha ACT wazalendo moja ya chama kinachokuja kwa kasi sana Tanzania ni baada ya Chadema kuna ACT wazalendo. Tujaribu kumpa pongezi zake tusisubiri mpaka afe ndiye tumpongeze tuache unafiki kabisa

Wale haters samahanini sana.
Zitto Kabwe alitumiwa sana na TISS kuihujumu Chadema, uzuri ni kuwa nayo Chadema ilikuwa na intelejensia ya hali ya juu sana kipindi kile hivyo yale madhara yaliyokusudiwa hayakutokea na ndiyo maana Zitto alifukuzwa Chadema na wenzake Mwigamba na Kitila Mkumbo. Zitto Kabwe asingekubali kutumiwa kuihujumu Chadema ndiye alikuwa anaandaliwa kumrithi Mbowe na TISS walilijua hili hivyo wakamuwahi mapema kumuingiza kwenye mfumo ili akija kushika uenyekiti kazi ya kuibomoa Chadema iwe nyepesi. Laana ya usaliti inamla tartiiib ndiyo maana sasa anaonekana kama kikongwe. Malipo ni hapa hapa duniani.
20240209_070737.jpg
 
nilimcheki mbowe kiukweli alikosa ukomavu wa kisiasa siku ya maziko wallah
 
nilimcheki mbowe kiukweli alikosa ukomavu wa kisiasa siku ya maziko wallah
Labda ulimcheki kwa kutumia matako,wote wenye akili walikubaliana na hoja yake ndiyo maana alipigiwa makofi japo ni msibani,kifupi aliwavua nguo CCM ndiyo maana Rais aliposimama alijaribu kufanya damage control kidogo.
 
Back
Top Bottom