Hauwezi kutaja historia ya Lowassa bila kuitaja Chadema vile vile hauwezi kutaja historia ya Chadema bila kumtaja Zitto Kabwe

We bwege Zitto aba uwezo mkubwa kuliko huyo Makengeza wenu. ACT-Wazalendo ni sehemu ya serikali ya SMZ. Mbowe alisafiria nyota za watu. Kwani hiyo CHADOMO ina nini sahvi baada ya vichwa kuondoka? Vichwa vilikuwa kina Dr. Slaa.
 
We unaumwa nenda katibiwe
 
Ahahahahaha! Ndondocha naona umehamisha magoli! Ahahahahaha!!!
 
Chadema acheni unafiki, huyo Lowassa hana historia yoyote kwenye chama chenu acheni kujikomba
 
Sisi tumesha kusamehe bure ndugu Mkunga,Ngariba sasa utuambie ngapi hukooo🤓
 
Zitto Kabwe alitumiwa sana na TISS kuihujumu Chadema, uzuri ni kuwa nayo Chadema ilikuwa na intelejensia ya hali ya juu sana kipindi kile hivyo yale madhara yaliyokusudiwa hayakutokea na ndiyo maana Zitto alifukuzwa Chadema na wenzake Mwigamba na Kitila Mkumbo. Zitto Kabwe asingekubali kutumiwa kuihujumu Chadema ndiye alikuwa anaandaliwa kumrithi Mbowe na TISS walilijua hili hivyo wakamuwahi mapema kumuingiza kwenye mfumo ili akija kushika uenyekiti kazi ya kuibomoa Chadema iwe nyepesi. Laana ya usaliti inamla tartiiib ndiyo maana sasa anaonekana kama kikongwe. Malipo ni hapa hapa duniani.
 
nilimcheki mbowe kiukweli alikosa ukomavu wa kisiasa siku ya maziko wallah
 
nilimcheki mbowe kiukweli alikosa ukomavu wa kisiasa siku ya maziko wallah
Labda ulimcheki kwa kutumia matako,wote wenye akili walikubaliana na hoja yake ndiyo maana alipigiwa makofi japo ni msibani,kifupi aliwavua nguo CCM ndiyo maana Rais aliposimama alijaribu kufanya damage control kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…