Havana: Shirika la Umeme la CUBA Limesema Halina uwezo wa Kusambaza Umeme Kulingana na Mahitaji ya Nchi.

Havana: Shirika la Umeme la CUBA Limesema Halina uwezo wa Kusambaza Umeme Kulingana na Mahitaji ya Nchi.

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Hali ya upatikanaji wa umeme Nchini CUBA imezorota baada ya shirika la Umeme la Taifa yaani Tanesco ya Cuba kusema halina umeme wa kuweza kuwafikishia Wananchi ambapo umeme unaohitajika ni megawatt 3000 na uliopp ni megawatt 500 tuu.

---
SHIRIKA la umeme nchini CUBA limesema linauwezo mdogo wa kusambaza umeme megawati 533 tu kati ya megawati zaidi ya 3,000 zinazohitajika.

Mapema serikali ya nchini humo imesema kipaumbele kwa sasa ni kupeleka umeme mahospitalini na vituo vya kusambaza maji na mashuleni na huduma zisizo za lazima za serikali zimefungwa hadi hapo baadaye.

Mji mkuu wa Havana unaendelea kusalia kwenye giza ingawa Shirika hilo la umeme kudai imetoa huduma hiyo kwa zaidi ya wateja 260,000 waliohitaji huduma ya umeme.

Utoaji wa huduma ya umeme nchini Cuba unadaiwa kushindwa kutokana na uhaba wa mafuta, majanga na mizozo ya kiuchumi.


Chanzo: Dw

My Take
Vinchi vya Kijinga kama hivi Huwa Vinaaekeza kwenye propaganda na Jeshi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ya Nchi.

Tanzania tusije fikia level hizo za Nchi Maskini kama Cuba na ni aibu eti wanatupa na misaada.
 
Hali ya upatikanaji wa umeme Nchini CUBA imezorota baada ya shirika la Umeme la Taifa yaani Tanesco ya Cuba kusema halina umeme wa kuweza kuwafikishia Wananchi ambapo umeme unaohitajika ni megawatt 3000 na uliopp ni megawatt 500 tuu.

View: https://www.instagram.com/p/DDMTtYmxK7O/?igsh=ZGVkbnVpNTNtZXln

My Take
Vinchi vya Kijinga kama hivi Huwa Vinaaekeza kwenye propaganda na Jeshi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ya Nchi.

Tanzania tusije fikia level hizo za Nchi Maskini kama Cuba na ni aibu eti wanatupa na misaada.

Ukikakuta kanaivimbia Marekani sasa! Unamfahamu honey badger? Google honey badger lion fight ndio kama hivyo.
 
Hali ya upatikanaji wa umeme Nchini CUBA imezorota baada ya shirika la Umeme la Taifa yaani Tanesco ya Cuba kusema halina umeme wa kuweza kuwafikishia Wananchi ambapo umeme unaohitajika ni megawatt 3000 na uliopp ni megawatt 500 tuu.

---
SHIRIKA la umeme nchini CUBA limesema linauwezo mdogo wa kusambaza umeme megawati 533 tu kati ya megawati zaidi ya 3,000 zinazohitajika.

Mapema serikali ya nchini humo imesema kipaumbele kwa sasa ni kupeleka umeme mahospitalini na vituo vya kusambaza maji na mashuleni na huduma zisizo za lazima za serikali zimefungwa hadi hapo baadaye.

Mji mkuu wa Havana unaendelea kusalia kwenye giza ingawa Shirika hilo la umeme kudai imetoa huduma hiyo kwa zaidi ya wateja 260,000 waliohitaji huduma ya umeme.

Utoaji wa huduma ya umeme nchini Cuba unadaiwa kushindwa kutokana na uhaba wa mafuta, majanga na mizozo ya kiuchumi.


Chanzo: Dw

My Take
Vinchi vya Kijinga kama hivi Huwa Vinaaekeza kwenye propaganda na Jeshi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ya Nchi.

Tanzania tusije fikia level hizo za Nchi Maskini kama Cuba na ni aibu eti wanatupa na misaada.
Kuna wana siasa wetu wataitumia hii kutunyima huduma muhimu
 
Hali ya upatikanaji wa umeme Nchini CUBA imezorota baada ya shirika la Umeme la Taifa yaani Tanesco ya Cuba kusema halina umeme wa kuweza kuwafikishia Wananchi ambapo umeme unaohitajika ni megawatt 3000 na uliopp ni megawatt 500 tuu.

---
SHIRIKA la umeme nchini CUBA limesema linauwezo mdogo wa kusambaza umeme megawati 533 tu kati ya megawati zaidi ya 3,000 zinazohitajika.

Mapema serikali ya nchini humo imesema kipaumbele kwa sasa ni kupeleka umeme mahospitalini na vituo vya kusambaza maji na mashuleni na huduma zisizo za lazima za serikali zimefungwa hadi hapo baadaye.

Mji mkuu wa Havana unaendelea kusalia kwenye giza ingawa Shirika hilo la umeme kudai imetoa huduma hiyo kwa zaidi ya wateja 260,000 waliohitaji huduma ya umeme.

Utoaji wa huduma ya umeme nchini Cuba unadaiwa kushindwa kutokana na uhaba wa mafuta, majanga na mizozo ya kiuchumi.


Chanzo: Dw

My Take
Vinchi vya Kijinga kama hivi Huwa Vinaaekeza kwenye propaganda na Jeshi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ya Nchi.

Tanzania tusije fikia level hizo za Nchi Maskini kama Cuba na ni aibu eti wanatupa na misaada.
Mbona wewe kahab @ ulimpinga jpm kwenye miradi ya umeme au unadhani tumekusahau ...wote mlio chwawa wa sa100 mlipinga kila kitu cha jpm ndiyo maana hata jina lake mnaogopa kulitaja.
 
Yawezekana aslimia zaidi ya 90 waliokomenti kwenye huu uzi ni watoto wa elfu mbili, lah! basi kama nchi bado sana swala la ELIMU! ni changamoto. Hii elimu ya nchi yetu bado inashindwa kuandaa raia wenye kuwa na uwezo wa kuwa na CRITICAL na ANALYTICAL minds!!!imebidi nitumie lugha ya kimombo yamkini nisiandike sana.

HIvi ni nchi gani hasa ilioendelea kwa hao mnawaita WAWEKEZAJI/MADALALI NA MATAPELI wakaendesha uchumi wa nchi na inchi ikapaa kiuchumi.

Mnashindwa kuelewa na kutambua kuwa nchi kama CUBA imewekewa VIKWAZO na ndo chanzo cha mdororo wa kiuchumi ila mmekaririshwa kuwa ujamaa ndo umewafanya hivyo, hivi huko shule mlienda kusomea UJINGA?!!!Hizi cheap PROPAGANDA muwe na uwezo wa kuzitambua na kuzipuuza.

Mnataka CUBA akubali kuolewa na U.S.A kama SOUTH KOREA au JAPAN?? hawa wenyewe wameshachoka kuburuzwa wanaanza kutoka usingizini na kutaka kujitawala wenyewe.

Kwanini vijana mnakuwa matahira kiasi hiki. Nchi ya Cuba imejipambanua kimlengo wake ila wivu wa wanajiita wanademokrasi( U.S.A) inatumia mbinu tangu enzi kuididimiza CUBA na bado wamefeli.
 
Back
Top Bottom