Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Basi usininyooshe mikono Kama hao wachache
pamoja bossasante sana chief! Kichwa Kichafu
lkn mimi mbona bado sijawa mkubwa....maana na mimi nataka nikiwa mkubwa niwe kama babu Asprin [emoji3][emoji3][emoji851][emoji851]
life is all about risk chief,
we are on the same lane comrade, risk taker!
Namimi natakaa wa kuni wish bday yangu.
Una umaarufu gani humu??[emoji15] [emoji15]
Hahahaha kwa mara ya kwanza nimesikia mtu anataka kufuata nyayo zangu... hizi ni dalili njema sana kwangu.asante sana chief! Kichwa Kichafu
lkn mimi mbona bado sijawa mkubwa....maana na mimi nataka nikiwa mkubwa niwe kama babu Asprin [emoji3][emoji3][emoji851][emoji851]
life is all about risk chief,
we are on the same lane comrade, risk taker!
Wit jamani
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Always backwash wins on destruction compared to shwash [emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji226][emoji226][emoji226]
Ila babu, pamoja na kuunga mkono juhudi hizi, mimi kuna kakitu kananikereketa japo naogopa kuuliza hapa nisije nikaharibu hali ya hewa yakanikuta hapa kama yale yaliyomkuta mweshimiwa fulani!Nami naunga mkono hoja. Itabidi tukubali tu kuhama kambi ili kuunga mkono juhudi...
Mtu tu akikupenda anaweza kuku wish, na sio kimapenzi ila jamii forums tunaishi ivyo na siyo lazima umaarufu.
I'm waiting for an invitation..!
Aniva shost...nilikutania mwaya sikuwa serious!
Karibu
Utafiti wangu unagusa kila pembe yaani haubagui kadhalika hauchagui....Unaonaje tukihamisha tafiti zako Jamii Intelligence. ...[emoji137]
Chukua huyu aliyekuanzishia thread. Mapema kabisa asubuhi umrudishe nimkague
Umeridhika na jibu lake? Mi nehi... labda kama mmoja katumia mkono wa kushoto na mwingine wa kulia