Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mzizi ni avatar!.....Rafiki nipo mbioni kubadili avatar yangu!Asee jamaa sijui ana kimzizi?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzizi ni avatar!.....Rafiki nipo mbioni kubadili avatar yangu!Asee jamaa sijui ana kimzizi?...
Kweli chura?Mzizi ni avatar!.....Rafiki nipo mbioni kubadili avatar yangu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hilo chura hapo wala hutumii nguvu[emoji23] [emoji23]
Siri ya mafanikio ni avatar mkuu!Pamoja kiongozi...tupe siri ya mafanikio
Rafiki wewe siyo mtu mzuri,umempindua my damned demi mchana kweupe!!Asante rafiki.
Kuna dem ulisha mkomalia akakukatalia humu?Siri ya mafanikio ni avatar mkuu!
Mkuu nilimtokea my damned demi akanichana live kuwa havutiwi na avatar yangu!....akasema avatar yangu ni mbaya na haipendi,akaniambia labda kama nitabadili avatar hapo sawa!!Kuna dem ulisha mkomalia akakukatalia humu?
Siri ni the way unavyopost au kufake maisha.
Asilimia kubwa ya wasichana humu ni single, sema wanahitaji mtu serious.
Ukiwa serious mkuu unampata demu yoyote alie single.
Sema mkienda huko PM mnazidisha utoto mwingi.
Mkuu nilimtokea my damned demi akanichana live kuwa havutiwi na avatar yangu!....akasema avatar yangu ni mbaya na haipendi,akaniambia labda kama nitabadili avatar hapo sawa!!
Mkuu umenipa mbinu nzuri sana,ngoja nitengeneze ID ya pili halafu kwenye avatar niweke hapo sura ya handsome mkali kama alivyofanya Mr Miller halafu nimtokee upya mkuu wangu!Ndio maana nikakuambia unaweza fake ukampata.
Wanawake wanajali vitu vidogo sanaa.
Ila mkuu,Mkuu umenipa mbinu nzuri sana,ngoja nitengeneze ID ya pili halafu kwenye avatar niweke hapo sura ya handsome mkali kama alivyofanya Mr Miller halafu nimtokee upya mkuu wangu!
Oh love u so much ..uko very candid yaan
Mimi tayari nimeshampenda mtu hapa JF ambae hata simjui na wala sijawahi kumwona ngoja nidili nae huyohuyo kufurahisha moyo wangu!Ila mkuu,
Mbona unahisi wa humu ni tofauti na huko unakoishi?
Tafuta huko afu umfungulie ID JF then mjimwaemwae,
Wengi couple zao humu zipo hivyo
Kasiee matata,
I can't wait to wish me my birthday, its soooooon
Nione tungo tata zenye kudataa!![emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
homie!! [emoji4]
thank you
i miss you mkadama wangu,
Hahahahahahaaa Mangiii mie napenda mziki sana na huwa akili yangu paap inakonekti mambo na mziki haraka. Sasa hapa nimekusoma nimeukumbuka ule wimbo wa sweet Mangiii.
Wait.... kwanini Joh Makini amenipa kichwani.... mmmhhh....
Leave it aside, please give me the date and I'll give you a blast shout out here in MMU hadi use me poo hehehehhee.
Good Day Mangii.
Mmmmh....wee umezoea ukewenza asee[emoji15] huioni wivuu?Hapana, anakaribishwa nafasi bado zipo. [emoji6]