Ziraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifoUsiku wa leo Nimeota(sijui kama ni ndoto au ilikua kweli) kwamba nimeamka kitandani lakini ile natoka kitandani kiwiwili changu kilibaki pale kitandani nikajaribu kuwasha taa ikagoma kuwaka. ule mwili uliokua pale kitandani ukatoka ukaingia mvunguni nami nikarudi kulala.
wakati nimelala nilijaribu ku shout kwanguvu Jina la Yesu lakini sauti ilikua haitoki
asubu nilivyoamka ndio niliweza kuikemea hii ndoto kwa maombi
Kwani israel anaish jehanam,?Ziraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
Ziraili ndio makazi yake.. Israel hapanaKwani israel anaish jehanam,?
SawaZiraili ndio makazi yake.. Israel hapana
AsanteSawa
Hahaaa hv watoa roho wapo wangapi mkuu. Huyo wa jehanum huwa anatumwa na nan?Ziraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
Hatumwi anajitumaHahaaa hv watoa roho wapo wangapi mkuu. Huyo wa jehanum huwa anatumwa na nan?
Yesu na Maria, ilikua around muda huo huo mshana jr Mbona nazidi kutishikaZiraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
Mkuu kikelelwa are you by any chance from Kikelelwa i know?
Huo muda usingizi mtamu balaaMimi nimejiwekea huwa nalala saa nne ikifika saa saba usiku naamka napiga kazi zangu hadi saa kumi narud kitandan hadi 11:30 naamka napiga zoezi kidg najiandaa nasepa, huyo ziraeli labda aniwinde mchana