Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Naona upo katika ubora wakoNilikuwepo[emoji102] [emoji115] [emoji3]
Nilizani Ziraili ana timetable ya kutembelea mashamba yake kumbe nae mkurupukaji tu!!..Anahitaji kuundiwa kamati kuchunguza maamuzi yake asije tembelea shamba lililotoka pandwa mchana wake na saa godi!..Ziraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
Mmmh hizi ndoto zingine Mungu atuepushe nazo kwa kweli uwiii!Asante mshana kwa ufafanuzi huu japo unatisha.Ziraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia