Have you ever seen the Secret Covenant of the New World Order? That is, what together they have done against you and plan to do against you?

Have you ever seen the Secret Covenant of the New World Order? That is, what together they have done against you and plan to do against you?

Kuna ambalo halijatimia?Hilo ndiko la kujiuliza.Kama lipo litatimizwa tu,na mimi naona almost yote tayari!

Na kwa jinsi hawa watu wakivyo mkuu,wala haya sio malengo mengi,kwa kuwa wana fronts nyingi kama ambavyo wamesema wenyewe.Mkuu kama umecheki hayo malengo vizuri,kazi wameshamaliza.Wanalokazania sasa ni hili👇

"When our goal is accomplished a new era of domination will begin."
Na hili wanataka walitimize kwa kutumia janga lao la kugushi la C-19.

Ukweli ni kwamba tumewaachia mno,tukiambiwa tunajidanganya/tunadanganywa kwamba ni conspiracy theories,here we are,in a dead end.Hapa niseme wazi,Wanadamu tusubiri muujiza tu,hatuna ujanja.
Covid-19 is a scam!...watu/madaktari wachache wanaojua huu ukweli wanafungwa midomo au taarifa zao zinazuiwa zisienee kwa kua vyombo vyote vya habari wanamiliki wao.

Wana create fear kwa kutumia propaganda za covid-19 virus, fake statistics za taarifa zavifo.kitu ambacho hakipo
 
Maswali yangu ni mawili tu:
1.Kwanini wanafanya hivi?

2.Mnaofanyiwa hivi mnachukua hatua gani?
 
Wew babu zako waliambiwaje
waliambiwa the same ila walipotaka kuniambia mimi nikawakumbusha kua mababu zenu waliwahi kuwasimulia hii hekaya na wakafa wakaicha so mnataka na mimi niishi katika ujinga huo huo nije niwafundishe watoto zangu habari ya kipuuzi kama hiyo kwa manufaa gani?
 
Covid-19 is a scam!...watu/madaktari wachache wanaojua huu ukweli wanafungwa midomo au taarifa zao zinazuiwa zisienee kwa kua vyombo vyote vya habari wanamiliki wao.

Wana create fear kwa kutumia propaganda za covid-19 virus, fake statistics za taarifa zavifo.kitu ambacho hakipo
Magu ndio aliyewaweza japo mwishoni hakubaki salama kama convenant yao inavyosema
 
Ndu
Ndugu usiwe mwepesi kufanya judgement na kitu ukakiangalia kwa upande mmoja au ukakisoma kama hadithi. Nakuomba nikuulize usinijibu lakin utafakari.
1. Je nani alichochea chuki kati ya wahutu na Watusi warwanda mpaka wakauana kama mashetani 1994 wakati wamekaa pamoja miaka wameoana, je vikao vilivyokua vinafanyika Presidential palace Uganda kati ya RPF,Ugandan authorities vikiongozwa na UK and US authorities unajua nini kilikua nyuma??Kwa nn ICTR ilipeleleza upande mmoja?Nani alieathiriwa na vita, je deni la taifa halikuongeza mara kadhaa kujenga vilivyobomolewa na vita?? Who paid and still pay the price?? Kuhusu superiority kati ya wahutu na watusi naona hata hapa kuna ambao wanakuja kujigamba kwamba wao ni superior kuliko wengine, wanasahau kwamba wanakua wanamtumikia kafiri (the global mafia)
2. Vita vya Sudan ,sisi tunaona South Sudan ilijitenga kwa Sababu ya manyanyaso na ubaguzi wa waarabu wa kaskazini. Lakin ni kweli wale waarabu walikua na chuki na weusi, au kuna uchochezi ulifanywa na hawa global mafia ili itokee social collusion ,then baadaye Sudan iwe splitted wachote mafuta. Tafuta reference utapata.
3. The ongoing war in Ethiopia kati ya serekali na waasi wa Tigray. Is it a genuine war worthy to be fought and sacrifice so many people. Who told the Tigrayan should always lead Ethiopia. Why Tigrayan think they are superior species in Ethiopia?? Who told them?
Kwa ufupi mtu usiwe mwepesi kukashfu hoja ya mtu bila kuwa na vithibitisho na kujiridhisha na unachokiongea.
Ukiweza kupata hizo case studies 3,utaelewa vita za Liberia, Sierra Leone, Burundi, Angola, hata vita ya Eastern Congo, ....hata hii mivutano ya dini, wakristu kati yao, waislamu kati yao, hata waislamu na wakristu. Kuna infiltration kila angle ya maisha ila inahitakjika akili kubwa kuelewa mchezo
Sawa mkuu,umesema nitafakari sio? lakini yote uliyosema naona pia na wewe umechukua upande mmoja tu.

Kuhusu vita kama Burundi hapa nina uzoefu na sio tu kusoma au kusikia kwa jirani.Kipindi niko mdogo nilikuwa na mjomba padre alikuwa akifanya kazi jimbo la Rulenge-Ngara.Kipindi hicho tulikuwa tunaenda Burundi na ndicho kipindi Burundi watu walikuwa kwenye mapigano.Kitu nlichoweza kuona ni ujinga wa wahutu na usaliti wa serikali ya Burundi kwa watu wake na si vinginevyo(hakuna mkono wa watu nje na kama upo unakuja tu katika kuuza siraha).

Kwanini natoa lawama kwa serikali ya kipindi hicho,sababu ni kwamba hapakuwa na uongozi pale ulikuwa ujinga tu.Kipindi kile ulikuwa ukiwa na elfu kama 20 za tz unaweza kupata mabomu ya kutupa kwa mkono,SMG zilikuwa nje nje.

Mwisho kabisa nisiwachoshe wasomaji kwa maana ni mengi niliyaona, na juu ya hiki ulichosema kuhusu wahutu na watusi.

Watusi wao kuona wako bora kupita wenzao sidhani kama kuna mkono wa mtu wa nje hata kidogo.Hawa watu hii ni tabia tu ambayo haijulikani walitoa wapi.Nimekaa nao,tena kuna wengine ni wazazi wangu lakini sijawahi ona hiki unachojaribu kusema.Ukitaka kujua mambo haya ni magumu zaidi kuna watu wengine wanaitwa Wahima(hawa jamaa wana dharau japo si wote ) ni jamii ya wafugaji ambao sina kumbukumbu kama wana interaction yoyote na watu wa mataifa kiasi kwamba kuna mtu anaweza penyeza ideology yake ambayo ikawa ndio ina motivate hivi ambavyo wana behave
 
We will establish a money system that will imprison them forever,
keeping them and their children in debt


Katika vitu ambavyo nikitafakari haviingii akilini ni matumizi ya pesa(makaratasi), tunaachia madini yetu, rasilimali zetu zinachukuliwa kwa makaratasi yaliyopambwa na kupewa jina zuri, pesa(money). Waafrika imefika wakati tusiwe watu wa kulalamika, uamuzi wa kutoka apa tulipo upo mikononi mwetu, tukiamua tunaweza.
 
Sawa mkuu,umesema nitafakari sio? lakini yote uliyosema naona pia na wewe umechukua upande mmoja tu.

Kuhusu vita kama Burundi hapa nina uzoefu na sio tu kusoma au kusikia kwa jirani.Kipindi niko mdogo nilikuwa na mjomba padre alikuwa akifanya kazi jimbo la Rulenge-Ngara.Kipindi hicho tulikuwa tunaenda Burundi na ndicho kipindi Burundi watu walikuwa kwenye mapigano.Kitu nlichoweza kuona ni ujinga wa wahutu na usaliti wa serikali ya Burundi kwa watu wake na si vinginevyo(hakuna mkono wa watu nje na kama upo unakuja tu katika kuuza siraha).

Kwanini natoa lawama kwa serikali ya kipindi hicho,sababu ni kwamba hapakuwa na uongozi pale ulikuwa ujinga tu.Kipindi kile ulikuwa ukiwa na elfu kama 20 za tz unaweza kupata mabomu ya kutupa kwa mkono,SMG zilikuwa nje nje.

Mwisho kabisa nisiwachoshe wasomaji kwa maana ni mengi niliyaona, na juu ya hiki ulichosema kuhusu wahutu na watusi.

Watusi wao kuona wako bora kupita wenzao sidhani kama kuna mkono wa mtu wa nje hata kidogo.Hawa watu hii ni tabia tu ambayo haijulikani walitoa wapi.Nimekaa nao,tena kuna wengine ni wazazi wangu lakini sijawahi ona hiki unachojaribu kusema.Ukitaka kujua mambo haya ni magumu zaidi kuna watu wengine wanaitwa Wahima(hawa jamaa wana dharau japo si wote ) ni jamii ya wafugaji ambao sina kumbukumbu kama wana interaction yoyote na watu wa mataifa kiasi kwamba kuna mtu anaweza penyeza ideology yake ambayo ikawa ndio ina motivate hivi ambavyo wana behave
Asante sana kwa comment , ila grassroots ya haya matatizo ya hao watu ni hizi global mafia zinatumia cheap mind na kuwapa leadership kwenye hizo nchi au kwenye makundi ya wazazi na kuwapa ushauri wa kuwaangamizana wenyewe kwa wenyewe na watu kuanza kuishi kwa kusiniana na kuogopana.

The same in the current Ethiopian war, Vita ya Sudan, hata Liberia .... Kuna mambo nisingependa kuandika hapa lakin siku nikipata nafasi ntaweka links
 
Uko sahihi kabisa mkuu.Nilishasema hapa,hakuna Corona. Respiratory system illnesses tunazoziona zinaletwa na uchafuzi wa mazingira wa hawa hawa jamaa,tena kwa makusudi ili kutuua.Sasa Lead inafanya nini kwenye gasoline kama unavyo sema?Mkuu kwenye stratosphere ndiko wanakomwaga masumu na mandege yao kila kukicha in what is called Chemtrails.Kiukweli inatisha na inaudhi sana.Hebu cheki sumu zinavyo mwagwa[emoji116].





Angalia ndege zinazotumika kumwaga sumu zilivyo ndani[emoji116]

Tatizo mkuu na sisi binadamu ni kutojitambua na kujielewa haya yote yanatokana na sisi kuwafanyia kazi.

Mfano watu tukaamua ku dismantle the system kwa kila anayejiona mtu not obey the system! Umoja ni nguvu..
Mfano watu wakaelewa kuwa dawa zipo kwenye plants from nature na si kile "chemical drug" ambazo huzuru equilibrium of a body.

Au wakulima kuacha kutumia mbolea ya chumvi na kutupigia dawa za "kuuwa wadudu kwenye mmea" waambieni ni bora kula hao wadudu mara mia kuliko kula sumu, mkumbuke yule mama wa Geita aliua watoto wake kwa sumu kwa kuwanywesha dawa ya mmea wa nyanya ambazo ni yi wakulima mnatumimia kwenye matunda ya nyanya, mjue wengi tunapenda kachumbari mtionee huruma wenzenu, unajua binadamu huwezi kujitegemea kwa kila kitu.
 
Loo! Nadhani ili uwe na amani jifanye huyajui hayo.Kinachobaki ni kumwelekea Mungu na kujikabidhi kwake.Vinginevyo hasa hasa sisi Waafrika tunatembea ni Marehemu.
Sasa tatizo huyo wewe unayemwita Mungu ndo anayafanya yote hayo ambayo wewe unayaona kuwa ni mabaya!
We jiulize hivi nani ana nguvu, mungu au shetani?

Ukipata jibu jiulize tena Nani ana control entire world, mungu au shetani? Kama ni mungu ndo anatawala basi haya yanayotokea ni tabia yake, kama shetani ndo anatawala dunia basi yeye ndo huyo mungu unayemjua!!

Ndo maana mimi siabudu mungu yoyote, siamini katika Yesu , Mungu, Mohamed, sijui Ubudha na Uhindu I dont care, tuipende dunia uetu hii, let us keep it and enjoy life
 
Uko sahihi kabisa,na ni kwa sababu ni microwaves au millimetre waves.Hizi waves ndizo zinazotumika kusafirisha 5G,ziko zaidi ya GHz 24.Huwa mimi namshangaa sana mtu anayeshabikia 5G,ni umbumbumbu wa hali ya juu sana.Infact 5G ndiyo itakayotumika ku-activate vimbwanga vilivyomo ndani ya kinachoitwa chanjo ya Corona.
Aritficial Intelligent microchip ndo watu wanajiandikisha for their permanently be Slaves to the tomb.
 
Kuna ambalo halijatimia?Hilo ndiko la kujiuliza.Kama lipo litatimizwa tu,na mimi naona almost yote tayari!

Na kwa jinsi hawa watu wakivyo mkuu,wala haya sio malengo mengi,kwa kuwa wana fronts nyingi kama ambavyo wamesema wenyewe.Mkuu kama umecheki hayo malengo vizuri,kazi wameshamaliza.Wanalokazania sasa ni hili[emoji116]

"When our goal is accomplished a new era of domination will begin."
Na hili wanataka walitimize kwa kutumia janga lao la kugushi la C-19.

Ukweli ni kwamba tumewaachia mno,tukiambiwa tunajidanganya/tunadanganywa kwamba ni conspiracy theories,here we are,in a dead end.Hapa niseme wazi,Wanadamu tusubiri muujiza tu,hatuna ujanja.
Huwa nawashangaa jamaa zangu hawalielewi hili suala, yaani wana ku ridicule mda wote...yaani hapa kazini kwangu nineongea sana na watu kuhusu agenda iliyopo ya total control...jiandae kisaikolojia kutotumia fedha kama njia ya kukusaidia kiuishi.

Huu ni muda wa kutafuta maeneo nje ya mji na kuishi eneo ambapo unaweza kupata hata eneo lenye maji ardhini ukatoboa ukatafuta solar heatet panel za uhakika utajilimia chakula chalko mwenyewe..time is over satu nao hawà jielewi, kuna jamaa yangu juzi ananiambia jimsindikize akachanje! Nikajisemea huyu jamaa bogus kweli...
 
Mkuu najifunza mengi Sanaa kutoka kwenye research na knowledge yako wewe n miongon mwa few participants kweny hii forum mmenifanya nisi delete because most of people humu are completely westernized and I bet few are really Agents wa hao watu(Globalists) keep doing what you suppose to do Kuna watu wengi tunakuelewa Sanaa and we are proud to have you inside here.thank you bro.
Hakuna research wala knowledge yoyote hapo ni copy and paste tu ya matango pori.
 
Aisee Yoda wewe na mabwana zako ni wajinga sana.In all this nonsense,hivi Mungu mnamuweka wapi.Hivi mnajua kwamba wanadamu ni viumbe wake na hasa wale wanaomtii?Ngoja nikuambie Yoda,wateule watapata mateso,but God will protect them somehow,yeye anajua how.

Na naomba nitumie nafasi hii to warn yeyote atakayesoma ujumbe huu.The World and humanity as we know it is coming to a tragic end.It is only those who believe in Jesus Christ who will receive Gods'protection.Why don't you receive Jesus Christ including you Yoda so that you can guarantee yourself of Gods' protection in the very troubling and terrible few years ahead.It is now or never,the ball is in your feet.

Naomba Yoda wuisome hiyo Covenant vizuri,kama wamekudanganya kwamba wewe ni mmoja wao ni uongo,kimbia before it is too late.

Huyo Yoda Mmatumbi Ni Sikio La Kufa
 
Mkuu najifunza mengi Sanaa kutoka kwenye research na knowledge yako wewe n miongon mwa few participants kweny hii forum mmenifanya nisi delete because most of people humu are completely westernized and I bet few are really Agents wa hao watu(Globalists) keep doing what you suppose to do Kuna watu wengi tunakuelewa Sanaa and we are proud to have you inside here.thank you bro.

Naungana Na Wewe Mkuu
 
Back
Top Bottom