Hahahahahaaaaa ina maana sie vimbaombao hatucheat??
Yaani afadhali wenzetu wazungu wamelelewa kutovumilia mtu kama umemchoka , akimpenda mwingine anamwacha kabisa wa zamani, sie hatuwezi sijui tuna huruma au nini!Gaga ku-cheat ni tabia ya ki-africa na inaongezeka sana baada ya kujilazimisha kuoa mke mmoja, fanya kautafiti utapata undani wake. ukitaka kujua Mswali ku-cheat yake jadi angalia mpaka kaweka msemo "kitanda hakizai haramu" huo msemo kwa lugha rahisi una maanisha kucheat kwa mwanamke ipo!
Mmmmh.....Kimeumana......will be back...
Hivi kuna mpambano humu kwa hii thread? mbona sijaunote?hommie hakika KIMEUMANA....!
mimi nitatofautiana wewe kwamba I WILL NOT BE BACK in this thread.
maanake dah!naona heading ya hii thread ingekuwa ni MPAMBANO WA WASANII
hommie hakika KIMEUMANA....!
mimi nitatofautiana wewe kwamba I WILL NOT BE BACK in this thread.
maanake dah!naona heading ya hii thread ingekuwa ni MPAMBANO WA WASANII
Sifa zote hizo za mtu mmoja tuTeamo Ti,
Mfalme wa amani,
Msaada hauna risiti,
Baba ya kula Kibua,
Baba ya kuwahi Tabenako
Baba ya G,
Muzee ya griii
Hatimaye amefufuka kama alivyosema!
Kaka acha uchoyo share with me please!!
How did you de-attached from that love feeling! Did you go for it even if you know you could not have her or did you just let the feeling dry and die?
Dears
Am just asking
Have you ever love someone, I mean really love her/him............... only to face the truth that that person can not be with you because may be s/he is already taken/ belong to someone else?
How do you deattach yourself with that feeling................... What do you do/can someone do??
Really!!! you can just let it go like that! lucky youKitu pekee nilichojifunza katika maisha yote ya mapenzi na kuvunjwa moyo ni ukiwa na uwezo wa kusahau na ku-let go basi mtu hata umpendeje ni atapita tu na utaweza ku-move on.
Nimefanya hivyo mara zote na ninaishi kwa furaha sana saiv, na pia siogopi kupenda tena na tena
Nilipenda mpaka nikawa nalia, mbaya zaidi niliyekuwa nampenda alikuwa hajui kama nampenda, nikajitosa kumuazima cd fulani baada ya hapo ilikuwa ni history, mapenzi yetu yalikuwa ya ukweli sanasana mpaka mazingira yalipotutenganisha, huyu kaka kwa kweli bado kashikilia kisehemu fulani kwenye moyo wangu, i will alwayz treasure our moment together
mkuu nimekumiss sana upo??MJone!
Unafunga ukurasa huo unanza mwingine kwa upya na upole zaidi.................yaani swaaaaaaari kabisa hapa!
.............:A S-confused1::crutch:Mi nilishampenda mtu kumbe shoga haa haa haaa.