Mhhh ngoja ntafanya mpango wakuconnect nukta hizo......another platinum release from Lizzy,
Lakini kama wewe ni msomaji mzuri sana wa JF (which i believe you are..) hebu fuatilia nalivua pendo, baby come back, what if na have you ever.....
I rest my case!!!!
MJ1 is pulling someones leg halafu anamgeuzia kibao tu huyo mkaka wa watu
... that's my boyHilo hali-epukiki kamanda....Hamna haja ya watu wazima kama sisi kudanganyana bana!
Dah babu umemaliza maswali yote!!!Asante sana......Hahahaha....we kumbe mbea eh?.........Hebu soma komenti ya babu hapa chini
Na kuweka pointi vizuri zaidi ni kuwa.........huwezi penda watu wawili..Kuna mmoja utakuwa unamtamani tu....Kinachotokea hapa ni kuwa, yule unayemtamani lakini yeye akawa anakupenda, utajikuta unalazimika kumpenda na kumkubali. Ukimtamani na ukamkubali utajikuta unampenda......Bibi ameingia mikononi kwa babu kwa muktadha huu.....Ndo maana nikakwambia yule mtu akirudi, bibi atakuwa na mshindani mkali, sikusema bibi atapigwa kibuti.
FYI....hakuna mwenye uwezo wa kumtoa bibi yenu mikononi mwangu zaidi ya Mwenyezi Mungu.
Unaona sasa kamanda???
kumbe ni sredi lukuki,
we mkareee
Dears
Am just asking
Have you ever love someone, I mean really love her/him............... only to face the truth that that person can not be with you because may be s/he is already taken/ belong to someone else?
How do you deattach yourself with that feeling................... What do you do/can someone do??
Wanakudanganya Lizzy usiwasikilize hao hkuna connection wala connected dots ................Mhhh ngoja ntafanya mpango wakuconnect nukta hizo......
... that's my boy
as clear as a crystal bowl
daka tano kabisaa:dance:
kweli aiseeNasubiria chapter ya mwisho...... AT LOOOOONG LAST.............!
All gals I loved with every bit of my heart are with other guys! Thats the reason Im still hunting for some one who is yet to be born.
Hahahah sasa wote wanaamini nimchague nani????Wanakudanganya Lizzy usiwasikilize hao hkuna connection wala connected dots ................
Hizo tano za baridi?
kweli aisee
nimeenda kwenye ile sredi nimekuta waghani wa kimataifa aisee
Au huyu MJ1 anfanya PhD nini na haya masredi??
Rev.............. it will take you forever kaka yangu to hunt those yet to be born.....try to look for someone who loved some and was left for someone else.........LOL ngoma draw
Unafundisha kupenda wakati we hujajifunza???Baba mchungaji embu penda acha kujinyima raha duniani hapa!All gals I loved with every bit of my heart are with other guys! Thats the reason Im still hunting for some one who is yet to be born.
Hahahah sasa wote wanaamini nimchague nani????
Naomba nikuong'oneze....ukizaa kabinti tafadhali naomba niwe mkweo...You man never get old other than becoming more wise as they age...
.....................Dah Rev. nimekosa jibu walah!! unatunyima tu fursa ya kumpata wifi yetu na hao maaunties wa kucheza nao. hujui am dying for grandies hapa??Naomba nikuong'oneze....ukizaa kabinti tafadhali naomba niwe mkweo...You man never get old other than becoming more wise as they age...
Hahhha Ahhh nikijutia MTM atakua hayupo tena.....inabidi uweke kitu rehani ili nipate uhakika!unakumbuka kule mbele ulinichagua mimi hhahahaha nichague mimi mamii kweli hutoregret
.....................Dah Rev. nimekosa jibu walah!! unatunyima tu fursa ya kumpata wifi yetu na hao maaunties wa kucheza nao. hujui am dying for grandies hapa??
Mchungaji taratibu MJ1 hazai bali anajifungua...LOL
Sorry mate! Basi akipata mtoto wa kike.....nimewahi!