Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #21
Me nacheki hapa home yaani ujinga mtupuLilipoingia goli la pili nimerudi zangu kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nacheki hapa home yaani ujinga mtupuLilipoingia goli la pili nimerudi zangu kulala
Labda Madrid ya ChatoFINAL INTER vs MADRID.
Marumo ni vibonde na huwezi kunibadilisha huo mtazamoKwani Marumo Gallants una wachukuliaje? Yaani kila timu inayofungwa na Yanga mnaihesabia ni mbovu. Embu angalia record ya Marumo Gallants ilivyo kakatana na nani hadi kufikia hapa kwenye nusu
Kuhusu mechi ya leo, hao wanajuana halafu pia Ac Milan kapata tu bahati ya kumuotea Tottenham kisha kwa Napoli ikawa kheri kwavile Osimhen hakuwepo game ya kwanza. Ila ni timu iliyofika tu kwa bahati ila sio ubora.
Inter wanacheza counter attack za kibabe sana pasi tatu wapo golini halafu kule mbele kuna wachezaji wenye kasi, kukaa na mpira, na kuwachukua wachezaji. Ac Milan wanezidiwa mbinu na uwezo wa wachezaji
Miaka ile unawakuta wababe kama akina valencia, ac milan ile ya kina pirlo, depotivo la coruna, porto, monacoCL ya miaka ya siku hizi si kama ya miaka yetu wakulungwa.
Agiza mo energy kwa hela yako🤣Ni Mancity ,madrd kashaumaliza mwendo
Inter wamekutana na Ac zote dhohofu ile haliMimi sifatilii ligi ya Italy ila hawa Inter Milan kwa hili kandanda lao wanaliotuonesha kipindi cha kwanza hakika wanastahili kuanzishiwa Jukwaa lao hapa JF.
Inter ya akina Recoba. Zamani zamani tu. Ilikua sio mchezo.Me nacheki hapa home yaani ujinga mtupu
Umesahau Bayern walipigwa Goli nne na Madrid kwenye nusu fainali?? Tena goli tatu za mwanzo zilifungwa ndani ya Dk 19 Je bayern ilikuwa timu dhaifu??Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap.
Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani?
Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu?
Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
Aisee ila valencia ya kina john carew ayala ilikuwa 🔥🔥🔥Miaka ile unawakuta wababe kama akina valencia, ac milan ile ya kina pirlo, depotivo la coruna, porto, monaco
Alvaro Recoba, Diego Simione, Ivan Zamorano, Christian Vieri🔥🔥🔥Inter ya akina Recoba. Zamani zamani tu. Ilikua sio mchezo.
Robreto Ayala sioo?Aisee ila valencia ya kina john carew ayala ilikuwa 🔥🔥🔥
Yap kipa canizares na jezi zao nyeupeRobreto Ayala sioo?
Mtu kama leao anawekwa benchi anaanza giroud hawa makocha aisee
Thread ya wahengaYap kipa canizares na jezi zao nyeupe
Madogo mkae mbali 😃Thread ya wahenga
Ulikuwa wakati mzuri sana kutazama boliYap kipa canizares na jezi zao nyeupe
😂Thread ya wahenga
Yako miwaniLabda Madrid ya Chato