Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Madrid is the King of comeback.Labda Madrid ya Chato
UCL ipo kwenye DNA ya Real Madrid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madrid is the King of comeback.Labda Madrid ya Chato
Safar Yao wote Inter na Ac Milan walipitia njia nyepes sana nahis ulikuwa mpango maalum wa UEFA kuwakutanisha vigogo kivyao na wachovu kivyaoYaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap.
Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani?
Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu?
Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
Majeruhi, jamaa ndio star wa timu kwasasa.Mtu kama leao anawekwa benchi anaanza giroud hawa makocha aisee
Kwa vigezo vipi?Marumo ni vibonde na huwezi kunibadilisha huo mtazamo
Madrid is the King of comeback.
UCL ipo kwenye DNA ya Real Madrid
Kuna dk 90 za kukata mzizi wa Fitina, tusubiriMlizoea mnamalizia kwenu this time NO. Hamuwezi chomoka pale Etihad
uwe unafatilia mashindano badala ya kurupuka kutoa uzi kama usingefatilia toka mwanzo usingekuja na huu utumbo