Hawa Ac Milan wamefikaje nusu fainali ya UEFA?

Marumo ni vibonde na huwezi kunibadilisha huo mtazamo
 
Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap.

Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani?

Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu?

Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
Umesahau Bayern walipigwa Goli nne na Madrid kwenye nusu fainali?? Tena goli tatu za mwanzo zilifungwa ndani ya Dk 19 Je bayern ilikuwa timu dhaifu??

Umesahau Barcelona walifungwa Goli 4-0 na bayern kwenye Michuano hii tena nusu fainali na marudiano barcelona hiyo hiyo ikala 3-0??

Umesahau Arsenal walifungwa goli 4-0 ma Barcelina tena nusu fainali...

Unailaumu AC milan kwa lipi.??

Bila shaka wewe umeanza kushabikia mpira Juzi...hujui kitu kuhusu UEFA....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…