Hawa hapa maadui wa Taifa la Tanzania

Hawa hapa maadui wa Taifa la Tanzania

Wakati mwingine nikifikiria sana ...naona sisi vijana (sio wote) tukawa na makosa pia.

1. Baadhi ya Viongozi ni wazazi wetu ; Huenda sisi ndio tuliwashawishi wawe majizi / majangili ....baada ya wao kutupeleka Nchi za nje kusoma / kupata exposure. Tukawaletea habari za namna ya kuihujumu Serikali ( kujilimbikizia mali ili tuishi kifahari) #familia bora #mboga saba

2. Vijana ni walinzi na waongozaji wa Taifa. Tumekua kama mazezeta , tunaona mambo hayako Sawa..lakini tumekalia tu kulalamika. Hivi kwanini tusiingie barabarani tukawatia hasara hawa viongozi ili wajifunze...halafu tukaanza kujenga UPYA kwà Umoja? Tunafeli wapi?
Kuna mkakati wa muda mrefu wa kupoteza kizazi, watoto waliyozaliwa 90 na kuendelea washapotezwa

Ova
 
Wakati mwingine nikifikiria sana ...naona sisi vijana (sio wote) tukawa na makosa pia.

1. Baadhi ya Viongozi ni wazazi wetu ; Huenda sisi ndio tuliwashawishi wawe majizi / majangili ....baada ya wao kutupeleka Nchi za nje kusoma / kupata exposure. Tukawaletea habari za namna ya kuihujumu Serikali ( kujilimbikizia mali ili tuishi kifahari) #familia bora #mboga saba

2. Vijana ni walinzi na waongozaji wa Taifa. Tumekua kama mazezeta , tunaona mambo hayako Sawa..lakini tumekalia tu kulalamika. Hivi kwanini tusiingie barabarani tukawatia hasara hawa viongozi ili wajifunze...halafu tukaanza kujenga UPYA kwà Umoja? Tunafeli wapi?
Mkuu

Hiyo ndio laana yenyewe sasa[emoji1]
 
Mkuu

Hiyo ndio laana yenyewe sasa[emoji1]
Sasa hapo unataka kusema VIJANA ndio wanalaana au sio? Maana wamewapotosha viongozi au sio?


Vijana wa Tanzania wamelaaniwa na nani? Mungu? Au Wazazi wao? Au Ardhi yao?
 
Enzi zetu wakati nakuwa mambo hayakuwa kama ilivyo sasa.

Nakumbuka, nilikuwa nikishuhudia viongozi wengi sana wakistaafu huku wakiwa hawana miliki ya vitu vingi.

Nionavyo Mimi, naona tayari MEZA imeishapinduliwa.

Maadui wakubwa wa Tanzania ni:

1. UJINGA (Enzi zetu hii ilikua kwà WANANCHI/ RAIA)
2. MARADHI (yalikuwa kwà Watumishi na Wafanyakazi)
3. UMASIKINI (ulikuwa kwà Viongozi)

Nasema meza imepinduliwa kwasababu, hivi sasa. UJINGA umewatawala viongozi walio wengi. Na wengi wao wanajidanganya kuhamasisha ujenzi wa mashule kwà ajili ya Wananchi wakati kiukweli kwasasa Wananchi hawana shida kabisa ni hizo shule zao (Kwani wameishagundua haziwasaidii watoto wao zaidi ya kuwatia UMASIKINI/wanaona bora wakae na watoto wao wasiwapeleke shule kupoteza muda na mwisho kuambulia Kukosa Kazi/ajira)

VIONGOZI wengi wamejirundikia mali za wizi na kuwafanya Wananchi/ Raia kuwa na UMASIKINI uliokithiri.

USHAURI: Ndugu zangu, hatuwezi kamwe kuwaondoa hawa maadui kwà kuipindua meza tutakua tunajidanga sisi wenyewe tu.

Ni vyema tukajitafakari sana kwà dhati ya mioyo yetu na kwà kukubaliana na ukweli. Tusiyakwepe matatizo tuliyonayo kwà kuyapaka rangi ya lips.

Tujitahidi sana kuzitumia experiences zetu, lessons zetu, study zetu na wisdoms zetu vizuri.

Mimi Mzee Kipusa, kwà dhati ya moyo wangu nina amini ya kwamba taifa letu haliwezi kamwe kuendelea na kuwa lenye Mafanikio kama tukiruhusu Milango na Madirisha yetu kuwa yamefungwa muda wote. Ni lazima tukubaliane kuifungua either Milango au Madirisha (kimojawapo). Hapa ndipo tutaweza kupiga hatua za kweli na zenye uhakika.
usemacho ni kweli, shule zetu zinatoa elimu ya kujibia mitihani na kuajiriwa. Hazitoi elimu ya kukabili na kuboresha mazingira yetu. Lengo la elimu halipaswi kuwa kujibia mtihani na kuajiriwa. Elimu inapaswa kufundisha namna ya kutumia rasilimali tulizonazo na namna ya kuunda vitu mbalimbali kwa ajili ya kutusaidia kuishi kwetu.
 
Kuna mkakati wa muda mrefu wa kupoteza kizazi, watoto waliyozaliwa 90 na kuendelea washapotezwa

Ova
Nani kawapoteza? Ujue ni vyema tukazipata PRECEPTS ( original ideas ) za matatizo yetu...wapi yameanzia!

Note: Hawa maadui chanzo chake ni mawazo ya mtu au watu washenzi....kundi la wapuuzi flani wanaotembea huku wamejaa mi UTI...majangili, wezi wakubwa ...wahujumu uchumi
 
usemacho ni kweli, shule zetu zinatoa elimu ya kujibia mitihani na kuajiriwa. Hazitoi elimu ya kukabili na kuboresha mazingira yetu. Lengo la elimu halipaswi kuwa kujibia mtihani na kuajiriwa. Elimu inapaswa kufundisha namna ya kutumia rasilimali tulizonazo na namna ya kuunda vitu mbalimbali kwa ajili ya kutusaidia kuishi kwetu.
Tunatokaje hapa Ndugu? Je tuichague CHADEMA katika kiti cha Urais? Tuunde KATIBA mpya? Unadhani hizo zitakua solutions?
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings". Pieter W. Botha, a former President of South Africa
Sio kweli.
 
Nani kawapoteza? Ujue ni vyema tukazipata PRECEPTS ( original ideas ) za matatizo yetu...wapi yameanzia!

Note: Hawa maadui chanzo chake ni mawazo ya mtu au watu washenzi....kundi la wapuuzi flani wanaotembea huku wamejaa mi UTI...majangili, wezi wakubwa ...wahujumu uchumi
Matatizo ya Afrika yalianza baada ya wakoloni kutupa UHURU.

Mwafrika hakupaswa kupewa uhuru maana hawezi kujiongoza mwenyewe ndio maana unaona sasa ana kabidhi rasilimali zake ziongozwe na watu wengine.

Matatizo ya Tanzania yalianza mwaka 1961 baada ya mwingereza kutupa UHURU.
 
Matatizo ya Afrika yalianza baada ya wakoloni kutupa UHURU.

Mwafrika hakupaswa kupewa uhuru maana hawezi kujiongoza mwenyewe ndio maana unaona sasa ana kabidhi rasilimali zake ziongozwe na watu wengine.

Matatizo ya Tanzania yalianza mwaka 1961 baada ya mwingereza kutupa UHURU.
Let's image....wewe hapo una mali ipo Ardhini ( Ardhi ni Yako ) ...je utakubali upewe 30% ya mali hiyo huku mtu anayekutawala achukue 70% kwà kua eti anavifaa vya kuichimba hiyo mali?

Ujue Ndugu yangu , kuna vitu vinaumiza sana. Sio kweli kwamba hatuwezi kujiongoza....sisi ni Matajiri sana na tunauwezo mkubwa sana wa Akili pamoja na Nguvu ....ni wajibu na jukumu letu kuyaondoa mawazo potofu katika vichwa vyetu.

R.I.P JPM
 
Tunatokaje hapa Ndugu? Je tuichague CHADEMA katika kiti cha Urais? Tuunde KATIBA mpya? Unadhani hizo zitakua solutions?
Hii inaonesha ni namna gani wala HATUJUI namna ya kuji ongoza.

Ndio maana una uliza je tuichague chadema? Mara tuunde katiba mpya?

Yani mpaka sasa HATUJA ELEWA njia sahihi ya kuji ongoza ni ipi

Na tuna zaidi ya miaka 62 ya Uhuru ila bado hatujui ni njia ipi bora ya kuji ongoza.

Narudia kukwambia kwamba

Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
 
We, as the black people,
CAN WE PROVE HIM (i.e. P. W. Botha) WRONG????
R.I.P JPM ( Kama wasingemuua , now tungekua mbali sana.


Fuatilia Historia ya Tajiri Muafrika wakuitwa Mansa Musa ,....Unaambiwa alikua zaidi ya mfalme Solomon,


IMG_20230608_111923.jpg
 
Let's image....wewe hapo una mali ipo Ardhini ( Ardhi ni Yako ) ...je utakubali upewe 30% ya mali hiyo huku mtu anayekutawala achukue 70% kwà kua eti anavifaa vya kuichimba hiyo mali?

Ujue Ndugu yangu , kuna vitu vinaumiza sana. Sio kweli kwamba hatuwezi kujiongoza....sisi ni Matajiri sana na tunauwezo mkubwa sana wa Akili pamoja na Nguvu ....ni wajibu na jukumu letu kuyaondoa mawazo potofu katika vichwa vyetu.

R.I.P JPM
J.P.M Alikuwepo lakini akaitwaDikteta, muuaji,katili...

Aka ingia Mama wakasema ana upiga mwingi.

Leo watanzania hao hao wana sikia bandari yao ina uzwa ndio ya kwanza kupiga kelele ina onyesha ni namna gani HATUELEWI tunataka nini,
HATUJUI tuji ongoze vipi,

Sisi ni kama ma ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa.ni kupelekwa msobe msobe tukilalamika kama ma ng'ombe [emoji230] yanavyo lia moo! moooo!
 
Hii inaonesha ni namna gani wala HATUJUI namna ya kuji ongoza.

Ndio maana una uliza je tuichague chadema? Mara tuunde katiba mpya?

Yani mpaka sasa HATUJA ELEWA njia sahihi ya kuji ongoza ni ipi

Na tuna zaidi ya miaka 62 ya Uhuru ila bado hatujui ni njia ipi bora ya kuji ongoza.

Narudia kukwambia kwamba

Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
Kuna WAJINGA wanataka kutula kwà kutuaminisha hivyo....eti eti...tuikiichagua CHADEMA au tukiwa na KATIBA mpya...basi KILA kitu kitabadilika. Maisha yatakua raha mstarehe... [emoji23]
 
Tutazungukaa na kutafuta mchawi ni nani lakini mchawi ni nani lakini adui yetu ni CCM na vigogo na watoto wa wanaccm
Tufanyeje ili tutoke hapa? Toa mbinu mpya sio zilezile za zamani!!!
 
Hamna mbinu nyingine zaidi ya kifichua na kuelimisha Umma kuhusu adui mkuu ambaye ni CCM na vigogo wake Mfano teuzi za ma DED wapya asilimia 90 ni za watoto vilaza wa vigogo wa CCM
Nasikia huyu nae kateuliwa...daah
Screenshot_2023-06-08-11-35-42-220_com.whatsapp.w4b.jpg
 
Back
Top Bottom