SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe mkoma kinachojadiliwa hapa ni hoja za hao wauza k . Bashite hajatoa hoja bali mipasho tu kama changudoa fulani tu hivi.CHADEMA inajadili tabia za watu na mipasho badala ya kuchambua na kujibu hoja, hoja zilizopo mezani.
Hoja alizoziibua Makonda wanazikwepa, wanawaingiza wakina "Mama" na misemo na mipasho yao. Huo ni Upotoshaji wa makusudi.
CHADEMA wanaendelea na kuongeza sintofahamu, na makosa wanapojadili tabia za Watu na misemo yao badala ya kuchanganua na kujibu hoja zilizopo.
Jamani Makonda ajibiwe hoja zake.