Hawa hawana kabisa uwezo wa kujenga na kupangua hoja

Wewe mkoma kinachojadiliwa hapa ni hoja za hao wauza k . Bashite hajatoa hoja bali mipasho tu kama changudoa fulani tu hivi.
 
Hara chadema kuna pambalu hajuagi anazungumza nini sjui ilkuaje akawa mwenyekiti bavicha vyama vyote kwa sasa kuna waropokaji wengi kuliko wanasiasa na hii ndio changamoto tuliyonayo kwenye vyama vyetu vya siasa atlist Act kuna watu makini unaweza wasikiliza wakitoa hoja, ila cdm na ma ccm ni ushuzi mtupu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
tuambie mamako anafanya shughuli gani
 
mwenyekiti bavicha
Bavicha ni kataasisi ka vijana wanaojitafuta huwezi kulinganisha na ;-
1. Mwenyekiti wa ccm taifa.
2. Mwenyekiti UWT taifa.
3. Mwenyekiti UWT wilaya ya Kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…