Hawa jamaa ndio wameongozwa kutazamwa Facebook 2022 kiulimwengu. Wachekeshaji wetu wajifunze kitu kutoka kwao

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Mwaka jana nilizungumza kitu kuhusu hawa comedians jinsi wanavyotisha. Wachekeshaji wetu waache kupoteza muda kuropoka.

Mimi wachekeshaji wetu wanabiboa, kazi yao ni kuropoka majukwaani tu, wakizidi zaidi basi wataiga kazi za wenzao. Hawana ladha kabisa.

Soko lao linaishia ndani tu, na wateja wao wengi ni wanawake na watoto.

 
wachekeshaji wa bongo yani picha linaanza anacheka yeye mwenyewe
 
Uchekeshaji wao ni rahisi na uko kilocal sana ila nawapenda kinoma hao jamaa Sean bridon 🤣😂😂kama Tom and Jerry wanawaza kuharibiana tu.
 
Mimi ninakereka sana na wanawake waliojaliwa makalio makubwa kuyatumia kama nyenzo ya uchekeshaji. Huwa naona tu kama matangazo ya biashara nyuma ya pazia. Wenyewe wanaita Yansh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…