Hawa jamaa ni wanazi wa Ali Kiba?

Baambieeee!
 
Nipo na zilipendwa kisha kichupa kingine September moja
 
Kumbe mkuu yani uku watu mapovu yanatutoka kumbe wamepanga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond nae hivi huo wimbo alioimba kama Rose Muhando ,ndo mnakuja kutupigia kelele hapa?
 
Sawa ametoa lakn ngoma low quality and quantity

Unaona YouTube matusi ya viwers ?

Mwambie dada ako atulize kichwa atunge nyimbo kali
 
naomba itokee wapatanishwe, ndo tutajua nani anatembelea nyota ya mtu. mana kuna mmoja lazima atazima, ziii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…