Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,175
Reaction score
1,588
Kwa miaka yote nilikuwa najua Hawa jamaa wanaishi Dar kwakuwa gazeti lililokuwa linawachora lilikuwa ni la Dar es Salaama

Kumbe aliyekuwa anawachora ndiyo alikuwa anaishi Dar

FB_IMG_15831522289320540.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya pili unaona udogo wangu?[emoji23][emoji23]

Mie sio mdogo sana,ni vile tu sio mfuatiliaji sana labda ndio maana hata hao watu siwafahamu
Hahhaha usijitetee kuhusu ufatiliaji yaani joanah mdogo sana

Kuna siku pia sijui nilikuona wapi ukasema humfahamu huyo mtu au huifahamu nyimbo iliyowekwa ila leo nimeshindwa kuvumilia [emoji23]
 
Back
Top Bottom