Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

Halafu enzi hizo pia kulikuwa na series kwenye haya magazin:

Bongo: Anga za wenyewe, starring Obi na demu wake Linda, mdogo ake Linda anaitwa Seba kubwa la maadui Mzee Ole na mlinzi wake mkuu anaitwa Zumo.

Sani: Ngumi za Zena na Betina.

Character wa mfanano:
Sani vs Bongo:
Kipepe vs Njomba Nchumali,
Madenge vs Kiokote,
Ndumilakuwili vs Bob Mikwara
Mzee Sani vs Mzee Bongo



Alexander The Great
 
Wengine hawa
FB_IMG_15832366645476081.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom