Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

Mara ya pili unaona udogo wangu?[emoji23][emoji23]

Mie sio mdogo sana,ni vile tu sio mfuatiliaji sana labda ndio maana hata hao watu siwafahamu
Hahhaha usijitetee kuhusu ufatiliaji yaani joanah mdogo sana

Kuna siku pia sijui nilikuona wapi ukasema humfahamu huyo mtu au huifahamu nyimbo iliyowekwa ila leo nimeshindwa kuvumilia [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…