Hawa jamaa nilikuwa najua wanaishi Dar

Halafu enzi hizo pia kulikuwa na series kwenye haya magazin:

Bongo: Anga za wenyewe, starring Obi na demu wake Linda, mdogo ake Linda anaitwa Seba kubwa la maadui Mzee Ole na mlinzi wake mkuu anaitwa Zumo.

Sani: Ngumi za Zena na Betina.

Character wa mfanano:
Sani vs Bongo:
Kipepe vs Njomba Nchumali,
Madenge vs Kiokote,
Ndumilakuwili vs Bob Mikwara
Mzee Sani vs Mzee Bongo



Alexander The Great
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…