LEMONT BISHOP
Member
- Oct 29, 2014
- 85
- 88
PRINCE AL WALEED BIN TALAL KWENYE PRIVATE PLANE YAKE YA AIRIBUS A380
Hapa sizungumziii viji private jets vya kukodisha au lile ngalawa ambalo mabilionea wanaenda nalo kisiwa cha mbudya.
Halafu maudhi makubwa zaidi husikii hata waki hire hizo private jets wala private airstrips
kabla hatujaendelea costs za kukodisha ni hizi hapa (note to; Shivacom, Lau masha, chale mutawali, muddymas, homeshopping centre, ndama, abubakar bakhressa, joseph kusaga, nimrod Mkono, William billionea Malecela,Gulamhussein, Mo Dewji, Omari Kimbau, Juma Pinto, Kinje, the rugemaliras, the Mengis, the Mbowes, the Mkapas, the mareales, the mwinyis, the moshas, the akidas, the mbugunis)
Hizi ni rates per hour (costs hizi ni minus transportation to and from airport, two full-time captains, a flight attendant, crew per diems, landing, ramp, parking, fuel surcharge, taxes, etc)
[TABLE="width: 225"]
[TR]
[TD="width: 141"]Gulfstream 550[/TD]
[TD="width: 83"]$8,640[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Global Express/XRS[/TD]
[TD]$8,045[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Falcon 7X[/TD]
[TD]$7,865[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Falcon 900[/TD]
[TD]$6,075[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Gulfstream IV[/TD]
[TD]$5,884[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Challenger 604[/TD]
[TD]$5,053[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Citation X[/TD]
[TD]$4,533[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hawker 800[/TD]
[TD]$3,582[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Citation Excel/XLS[/TD]
[TD]$3,388[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Learjet 60[/TD]
[TD]$3,347[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Citation Mustang[/TD]
[TD]$1,674[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Nadhani kwa taarifa zaidi mnaweza kumcontact Susan Mashibe wa TanJet atawapa current rates
Lakini nimechoka and I find it abit tiring watu wazima kushindana vipando ambavyo hata Jery Silaaa anavyo. How hard is it for our ballers wakawa na PJ hangers zao....as a matter of fact how hard kwa hawa watu kuwa na helicopters zao?
Note kwa Mengi na Mo Dewji: ni kuwa Bombardiers Global 8000, one of the longest range private jets on the market, can go 7,900 nautical miles on a single tank of gas, flying at Mach 0.85 with 8 passengers. With a fuel capacity of 48,950 lbs, it costs approximately $53,000 to fill the tank.
Kinachonitia kichefu chefu ni mambo ya kubanana na hawa watwana kwenye emirates business class na kulazimishwa kusemeshwa as if mtu unataka kuongea nao
I'm fed na hawa jamaa zetu. Ukiwauliza wangapi kati yao wanasomeshwa watoto wao in the worlds best/top private schools hakuna...WTF??