Hawa ma bilionea wa Kibongo mbona hawana Private Jets wala Yachts?

Hawa ma bilionea wa Kibongo mbona hawana Private Jets wala Yachts?

Kumiliki Yatch inabidi uwe na mjengo ufukweni,haipendezi uwe na Yatch halafu unakaa sehemu ambayo haina hata bahari/ziwa.
 
Hao wakina Prince Waleed wana hela za dhulma tu. Wakati watu wengine wana njaa lakini hawana haki ya kutumia utajiri wa natural resouces za nchini kwao, wao wamejimilikisha kila kitu kama miungu watu. Hawa hawajui kuoka jasho kabisa, waache wapige moto pesa watakavyo. Dhulma tu hawa.

Kwa hiyo hao ulio wataja pesa wametoa jasho Lao eeh? Na tunaongelea Kuhusu ma bilionea au ni Kuhusu vipi wamepata pesa zao?....
 
Kwa hiyo hao ulio wataja pesa wametoa jasho Lao eeh? Na tunaongelea Kuhusu ma bilionea au ni Kuhusu vipi wamepata pesa zao?....

Sioni sababu ya kukasirika na kutoa povu au una undugu na huyu Prince Waleed? Halafu huwezi kunipangia jinsi gani nitoe comments zangu hapa. Humu JF hakuna formula ya kuonyesha jinsi gani ya kuchangia hoja, kila mtu anaandika kutoka na mtazamo wake, kwa hiyo acha kuuliza uliza maswali wakati majibu unayo.
 
Sioni sababu ya kukasirika na kutoa povu au una undugu na huyu Prince Waleed? Halafu huwezi kunipangia jinsi gani nitoe comments zangu hapa. Humu JF hakuna formula ya kuonyesha jinsi gani ya kuchangia hoja, kila mtu anaandika kutoka na mtazamo wake, kwa hiyo acha kuuliza uliza maswali wakati majibu unayo.
Naona umetumia nguvu nyingi kuongea jambo dogo sana,usijikere ikiwa unahisi nimekuudhi SAMAHANI SANA TENA SANA...........sipendi kumkera nnae mjua seuze weye nisokujua...
 
Hao wakina Prince Waleed wana hela za dhulma tu. Wakati watu wengine wana njaa lakini hawana haki ya kutumia utajiri wa natural resouces za nchini kwao, wao wamejimilikisha kila kitu kama miungu watu. Hawa hawajui kuoka jasho kabisa, waache wapige moto pesa watakavyo. Dhulma tu hawa.

Hao maprince Waleed, Talal, Faisal nk pesa zao ni halali maana baba yao Sultan Abdulaziz Al Saud ndiye founder wa Saud Arabia iliyokuwa na vinchi vidogovidogo akaifanya Saud kuwa taifa lenye nguvu na utajiri wa mafuta huku akitoa huduma zote muhimu kwa raia zake pia maisha bora

Wewe ungelia na Kikwete na wanamitando kwa kujitajirisha haraka kwa kukwapua mali za nchi hii huku wakiacha watanzania wakiwa na njaa, hawana huduma Za afya, hawana ajira wala huduma za jamii usilie na akina Prince Waleed wao wameanza kutanua baada ya kuhakikisha wasaud wako poa na hawana shida za kijinga sie akina Kikwete, Ridhwan, Chenge, Ngeleja, Tibaijuka, Muhongo, Karamagi, Omar Nundu, Rostam, Maswi, nk wanakwapua na kutajirika na wengine kuweka pesa nje ya nchi wakati watanzania wana njaa kwahiyo hapo nani wa kulaumiwa usultan wa Saud au wanamtandao?
 
I always tell myself kuwa bongo bado hakuna tajiri wa ukweli wengi wanamaisha ya kawaida tu. Na ukiwaambia hawawezi kukuelewa. Mtu ananunua magari ya japan used halafu anajitanua kua yeye tajiri. Private jet ni habari nyingine

Mkuu kwanini usitafute za kwako halafu ununue hizo private Jets badala ya kuwapangia watu watumieje hela zao? Halafu suala la kusema wanajitanua kuwa wao ni matajiri ni suala la tafsiri zetu sisi walala hoi, mimi binafsi sijawahi kuona wala kusikia tajiri wa ukweli (acha hao mnaowaita matajiri wakati wala hawana sifa hiyo, wengine wametajwa na muanzisha uzi hapo juu) akipita barabarani akijitapa kuwa yeye ni tajiri, sisi walala hoi ndio huwa tunatafsiri kuwa wanajitanua kumbe wanaishi tu maisha yao.
 
nahisi ni life style tu ya mtu binafsi, mfano ni mdogo Aliko Dangote ana utajiri ambao ni mkubwa kiasi kwamba Abromovich anaweza kuingia kama mara 7, lakini mbwe mbwe na matanuzi anayofanya Abromivich unaweza fikiri Dangote cha mtoto.
Wenzetu wanajua kuspend kuna familia za wenzetu wana vipato vya kawaida lakini uwa wanaenda vacation wanatembelea sehemu nzuri wana relax, ila kwa mbongo ni tofauti ni familia chache unasikia zimetembelea mlima Kilimanjaro au mbuga flani japo kuwa unakuta ni familia zinazo jiweza.

Urohoo nakutokujiamini, Kama unaweza kutengeneza pesa ndefu na Bado uhakika upo wakutofilisika kwaninii usitumie, nazaidi kuendelea kubananaa?
 
Mkuu mie inaniuma watu kuwana hela halafu wamezificha nje hazimsaidii yeye wala mtanzania...ebu jaribu fikiria hao uliowasema wangeinvest katika city trains kusaidia wananchi au viwanda vya ndani kupunguza import na kutengeneza ajira zaidi, hayo ya private extravagance si wote wanayapenda kuna watu japan wana hela kubwa hadi wanaikopesha serikali yao ila wanaishi maisha ya utajiri wa kawaida sana. Mie nawaomba tu watumie kuinvest katika vitu vitavyowasaidia wazawa, railway, big hosp, kiwanda cha magari au baiskeli,pembejeo za kilimo nk

Mkuu ukisikia utajiri wa mtu ni USD billioni kadhaa sio kwamba hizo zote ni cash. Humo kuna cash, real estate, art collection, stocks and bonds na investment nyingine. Kuhusu ku-invest si wameshawekeza ndio maana wamekuwa mabilionea na wameajiri watu wengi tu Mfano Bakhresa, Mengi etc. Kumbuka mwekezaji yeyote motive yake ni kupata faida, hawawezi kuwekeza sehemu ambayo hawatapata faida labda waamue kujitolea kama public service ambapo huo ni uamuzi wao huwezi kuwalazimisha
 
nahisi ni life style tu ya mtu binafsi, mfano ni mdogo Aliko Dangote ana utajiri ambao ni mkubwa kiasi kwamba Abromovich anaweza kuingia kama mara 7, lakini mbwe mbwe na matanuzi anayofanya Abromivich unaweza fikiri Dangote cha mtoto.
Wenzetu wanajua kuspend kuna familia za wenzetu wana vipato vya kawaida lakini uwa wanaenda vacation wanatembelea sehemu nzuri wana relax, ila kwa mbongo ni tofauti ni familia chache unasikia zimetembelea mlima Kilimanjaro au mbuga flani japo kuwa unakuta ni familia zinazo jiweza.

Apo kwenye red nilikua nataka niku correct kidogo mkuu...abromovich anaweza akaingia mara 2.5 kwa dangote..sio mara 7 mkuu..ila i get your point...((roman-9.5$bil na chibu -25$bil))
 
Apo kwenye red nilikua nataka niku correct kidogo mkuu...abromovich anaweza akaingia mara 2.5 kwa dangote..sio mara 7 mkuu..ila i get your point...((roman-9.5$bil na chibu -25$bil))

Pamoja mkuu nlikuwa na information mbaya nilidhani abromovich ana worth 3.8 bills dollars.
Thank you kwa kunisahihisha
 
tumblr_nj39g93LhM1qzz37no1_500.jpg



tumblr_nj2rdzY04d1u6855bo1_1280.jpg
 
Hao maprince Waleed, Talal, Faisal nk pesa zao ni halali maana baba yao Sultan Abdulaziz Al Saud ndiye founder wa Saud Arabia iliyokuwa na vinchi vidogovidogo akaifanya Saud kuwa taifa lenye nguvu na utajiri wa mafuta huku akitoa huduma zote muhimu kwa raia zake pia maisha bora

Wewe ungelia na Kikwete na wanamitando kwa kujitajirisha haraka kwa kukwapua mali za nchi hii huku wakiacha watanzania wakiwa na njaa, hawana huduma Za afya, hawana ajira wala huduma za jamii usilie na akina Prince Waleed wao wameanza kutanua baada ya kuhakikisha wasaud wako poa na hawana shida za kijinga sie akina Kikwete, Ridhwan, Chenge, Ngeleja, Tibaijuka, Muhongo, Karamagi, Omar Nundu, Rostam, Maswi, nk wanakwapua na kutajirika na wengine kuweka pesa nje ya nchi wakati watanzania wana njaa kwahiyo hapo nani wa kulaumiwa usultan wa Saud au wanamtandao?

Kumbe sista na kwenye ma politics upo eeh, nilikua cjui! Thumb up
 
Mabilionea wa Kibongo wanamiliki Helicopter kama Askofu Gwajimwa wa Ufufuo na Uzima.
 
Arusha na mabillionea wale mbona hawapo kwenye list ya Forbes.??
 
tajiri wa kibongo bongo anadaiwa na mabenki kibao hlf umwambie habari za kununua private jet atakuelewa? labda mpaka awe multi billionaire in us dollars ndo ataweza ku-afford kununua private jet na yatch (hata kama bado anadaiwa benki) coz atakuwa ana-generate enough cashflow ku-sustain luxurious lifestyle yake
 
Back
Top Bottom