Hao maprince Waleed, Talal, Faisal nk pesa zao ni halali maana baba yao Sultan Abdulaziz Al Saud ndiye founder wa Saud Arabia iliyokuwa na vinchi vidogovidogo akaifanya Saud kuwa taifa lenye nguvu na utajiri wa mafuta huku akitoa huduma zote muhimu kwa raia zake pia maisha bora
Wewe ungelia na Kikwete na wanamitando kwa kujitajirisha haraka kwa kukwapua mali za nchi hii huku wakiacha watanzania wakiwa na njaa, hawana huduma Za afya, hawana ajira wala huduma za jamii usilie na akina Prince Waleed wao wameanza kutanua baada ya kuhakikisha wasaud wako poa na hawana shida za kijinga sie akina Kikwete, Ridhwan, Chenge, Ngeleja, Tibaijuka, Muhongo, Karamagi, Omar Nundu, Rostam, Maswi, nk wanakwapua na kutajirika na wengine kuweka pesa nje ya nchi wakati watanzania wana njaa kwahiyo hapo nani wa kulaumiwa usultan wa Saud au wanamtandao?