Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Tangu niijue na kuifuatilia Simba sijawahi kuona kikosi kibovu cha Simba kama kilichocheza juzi na Mlandege. Haijawahi kutokea hata Simba B ikawa hovyo kiasi hiki.
Kocha Mgunda pamoja na kukerwa na namna walivyocheza, leo wamekichezesha kikosi kilekile isipokuwa Kibu tu. Watoto ni watoto tu. Bila kujua kuwa huo ni mtego, naona madogo wanacheza kwa standard ileile. Hakuna jitihada, pasi mkaa, wanapoteza mipira hovyo, hawajui kufungua wala hatuoni vipaji vile tunavyotarajia kuona kwa vijana wadogo kama hawa. Wengi ni wa kufukuza tu hapa.
Ogopa Sana Hakimu akikwambia Jitetee.
Kocha Mgunda pamoja na kukerwa na namna walivyocheza, leo wamekichezesha kikosi kilekile isipokuwa Kibu tu. Watoto ni watoto tu. Bila kujua kuwa huo ni mtego, naona madogo wanacheza kwa standard ileile. Hakuna jitihada, pasi mkaa, wanapoteza mipira hovyo, hawajui kufungua wala hatuoni vipaji vile tunavyotarajia kuona kwa vijana wadogo kama hawa. Wengi ni wa kufukuza tu hapa.
Ogopa Sana Hakimu akikwambia Jitetee.