Hawa Marekani na Urusi si haba wana lao tusilolijua

Hawa Marekani na Urusi si haba wana lao tusilolijua

Sisi ndio wabaya kushinda hao mara mia basi tu hatuna uwezo, Mungu anajua.
 
Nimewahi kuambiwa kuwa kwenye ofisi ya Rais wa Marekani kuna simu ya mezani ambayo anayepiga kwa hiyo line ni Rais wa Russia tu, na hivyo hivyo kwenye ofisi ya Rais wa Russia kuna simu ambayo inapigiwa na Rais wa marekani tu.

Sijui ni kweli au ni chai tu.
 
Yani mmarekani na urusi ni mataifa yanayoonekana maadui sana ila nimeshaanza kuhisi kuna jambo zito tunapigwa changa hapa.

Juzi puttin katest Soviet-era Voevoda ICBMs a.k.a Satan 2,ni Bomu hatari lenye uwezo wa kubeba vichwa zaid ya kumi vya nyuklia kwa umbali wa km18,000/=,lakini hili Bomu ni copy and paste ya SS-18 Satan ambalo mmarekani aliliunda enzi ya vita baridi na sasa hadi NATO wanalo.

Cha ajabu Putin juzi kajitokeza akidai maadui zake wafikirie mara mbili kuhusu Satan2 ,ikumbukwe hili Bomu Putin kumbe mwaka 2018 ,aliomba umoja wa mataifa kutest hili Bomu na akaruhusiwa na Marekani (They noted that Moscow had informed Washington ahead of Wednesday's test, as required under international agreements, and said the US had tracked the launch.

"Such testing is routine, and it was not a surprise. It was not deemed be a threat to the United States or its allies," Pentagon spokesman John Kirby said).

Akatia baraka sasa leo anakuja kusema maadui zake wafikirie mara mbili ,hao maadui ni nani?

Pili hata vita vingi ambavyo vinapigwa kwenye nchi zenye rasilimali nyingi ,mfano Syria, Iraq, Afghanistan, Jordan, Lebanon, huwa mwishowe hii mijamaa Urusi na mmarekani huishia kugawana maeneo hata kama mmoja wao kaonekana kushindwa upande anaousupport .

Nikwambie tuu Urusi utashangaa anabaki na Ukraine mashariki na the rest anabeba U.S.A
Mimi siamini kwamba hawa ni maadui bali ni matapeli na majambazi wa kimataifa,kazi yao kubwa ni kuiba rasilimali za mataifa yaliyobarikiwa, uuzaji wa silaha, uuzaji wa technology za zana za kivita, utengenezaji wa manoti hewa, utakatishaji wa pesa, uchochezi wa migogoro ya kivita,utengenezaji wa magojwa hatari ili kujipatia vipato.

Wanatudanganya tuu mfano Russia wana kampuni lao kubwa linaitwa Rosneft ambalo linamilikiwa full na serikali ila BP ana kashea,kazi ya hili kampuni ni kunyonya gesi, mafuta na mijamaa hailipi kodi ,hili kampuni liko Iraq, Syria, Iran,Jordan, Lebanon, Crimea, Kuwait, kazi kunyonya tuu wanakuuzia silaha kwa bei kubwa wakija kunyonya wese na gesi kodi matanga alafu wanakuambia tutakulinda na maadui mtu wangu.

Marekani sasa kaka mtu ndio kabisa jambazi anatumia world benk na IMF kama sehemu ya kutakatishia pesa ,anaprint dola anawapa mkopo ,mnarudishia hela halali,naye ana jikampuni linaitwa brother oil, full kunyonya tu.

Nyie shabikieni wakati hakuna mtanzania hajawahi ibiwa na hawa jamaa.

Nikwambie tuu Urusi ni kitu kimoja na USA .
Kwenye vita ya Afghanistan, Lockheed Martin ililipwa na Pentagon $75 billions, hiyo inazidi budget ya jeshi la Urusi na ni mara mbili ya budget ya jeshi la ufaransa mwaka huu.
Ikawalipa madogo flani wawili kusupply risasi $5 billion ambapo tu walianzisha kampuni mmoja alikuwa daktari wa wanyama na wakati huo mmoja alikuwa na miaka 23 mwingine 21, mmoja now kafungwa miaka 40 baada ya baadae kubainika walikuwa wanachukua risasi china ndo wanauzia serikali.
 
Nimewahi kuambiwa kuwa kwenye ofisi ya Rais wa Marekani kuna simu ya mezani ambayo anayepiga kwa hiyo line ni Rais wa Russia tu, na hivyo hivyo kwenye ofisi ya Rais wa Russia kuna simu ambayo inapigiwa na Rais wa marekani tu.

Sijui ni kweli au ni chai tu.
Inaitwa, hotline.
 
Sio urafiki. Mrusi huwa anakuwa cornered anakosa la kufanya hivyo anajikuta ndani ya plan za watu.
 
Nimewahi kuambiwa kuwa kwenye ofisi ya Rais wa Marekani kuna simu ya mezani ambayo anayepiga kwa hiyo line ni Rais wa Russia tu, na hivyo hivyo kwenye ofisi ya Rais wa Russia kuna simu ambayo inapigiwa na Rais wa marekani tu.

Sijui ni kweli au ni chai tu.

Iliwekwa kipindi cha cold war.
 
Nimewahi kuambiwa kuwa kwenye ofisi ya Rais wa Marekani kuna simu ya mezani ambayo anayepiga kwa hiyo line ni Rais wa Russia tu, na hivyo hivyo kwenye ofisi ya Rais wa Russia kuna simu ambayo inapigiwa na Rais wa marekani tu.

Sijui ni kweli au ni chai tu.
Pentagon wana direct line na Jeshi la Urusi...
Ndo maana kwenye conflict zone Syria hujawahi sikia Wanajeshi wa Urusi au Marekani wameuana
 
Kwenye vita ya Afghanistan, Lockheed Martin ililipaa na Pentagon $75 billions, hiyo inazidi budget ya jeshi la Urusi na ni mara mbili ya budget ya jeshi la ufaransa mwaka huu.
Ikawalipa madogo flani wawili kusupply risasi $5 billion ambapo tu walianzisha kampuni mmoja alikuwa daktari wa wanyama na wakati huo mmoja alikuwa na miaka 23 mwingine 21, mmoja now kafungwa miaka 40 baada ya baadae kubainika walikuwa wanachukua risasi china ndo wanauzia serikali.

Hii story kuna movie waliitengenezea inaitwa War Dogs.
Bonge la movie afu linachekesha balaa
 
Hii story kuna movie waliitengenezea inaitwa War Dogs.
Bonge la movie afu linachekesha balaa
Yes ndip ya hao vijana, wakala maisha wakanunua magari, majumba 😀😀
Black water walitoka kulipwa $205 kufundisha wanajeshi mpaka kupewa mkataba wa bilions kadhaa kufanya ulinzi.
 
Uliyotaja yana ukweli wa kiwango cha SGR. Hawa jamaa hata taarifa za kiintelijensia hu-share inapobidi ili kuepusha migongano. Mfano wakati wa mapigano kule Syria walikuwa wanapeana taarifa kuwa tunashambulia sehemu ulipo hivyo tunaomba upishe ili kutokukuathiri bwana mkubwa/mdogo.
Hata sasa kule Ukraine ukiangalia ziara za wakuu wa nchi za magharibi na US kule Kiev wakati huu wa vita utaona wale jamaa watia guu Kiev bila woga wa kudunguliwa hata kwa kisingizio cha bahati mbaya kwa kuwa tu wanahakikishiwa usalama wake.
Onyo la Marekani kuwa Russia ingeanzisha mashambulizi ndani ya mwezi mmoja na kuwataka raia wake kuhama inaonesha kuwa kuna kushirikiana na kupeana taarifa kwa nchi tajwa.
 
Hii story kuna movie waliitengenezea inaitwa War Dogs.
Bonge la movie afu linachekesha balaa
Hiyo movie imejaa vituko!

Kuna jamaa humo alifukuzwa kazi kwa kosa la kutoa definition ya IBM mbele ya bosi wake ambaye alikuwa hajui chochote.
 
Yani mmarekani na urusi ni mataifa yanayoonekana maadui sana ila nimeshaanza kuhisi kuna jambo zito tunapigwa changa hapa.

Juzi puttin katest Soviet-era Voevoda ICBMs a.k.a Satan 2,ni Bomu hatari lenye uwezo wa kubeba vichwa zaid ya kumi vya nyuklia kwa umbali wa km18,000/=,lakini hili Bomu ni copy and paste ya SS-18 Satan ambalo mmarekani aliliunda enzi ya vita baridi na sasa hadi NATO wanalo.

Cha ajabu Putin juzi kajitokeza akidai maadui zake wafikirie mara mbili kuhusu Satan2 ,ikumbukwe hili Bomu Putin kumbe mwaka 2018 ,aliomba umoja wa mataifa kutest hili Bomu na akaruhusiwa na Marekani (They noted that Moscow had informed Washington ahead of Wednesday's test, as required under international agreements, and said the US had tracked the launch.

"Such testing is routine, and it was not a surprise. It was not deemed be a threat to the United States or its allies," Pentagon spokesman John Kirby said).

Akatia baraka sasa leo anakuja kusema maadui zake wafikirie mara mbili ,hao maadui ni nani?

Pili hata vita vingi ambavyo vinapigwa kwenye nchi zenye rasilimali nyingi ,mfano Syria, Iraq, Afghanistan, Jordan, Lebanon, huwa mwishowe hii mijamaa Urusi na mmarekani huishia kugawana maeneo hata kama mmoja wao kaonekana kushindwa upande anaousupport .

Nikwambie tuu Urusi utashangaa anabaki na Ukraine mashariki na the rest anabeba U.S.A
Mimi siamini kwamba hawa ni maadui bali ni matapeli na majambazi wa kimataifa,kazi yao kubwa ni kuiba rasilimali za mataifa yaliyobarikiwa, uuzaji wa silaha, uuzaji wa technology za zana za kivita, utengenezaji wa manoti hewa, utakatishaji wa pesa, uchochezi wa migogoro ya kivita,utengenezaji wa magojwa hatari ili kujipatia vipato.

Wanatudanganya tuu mfano Russia wana kampuni lao kubwa linaitwa Rosneft ambalo linamilikiwa full na serikali ila BP ana kashea,kazi ya hili kampuni ni kunyonya gesi, mafuta na mijamaa hailipi kodi ,hili kampuni liko Iraq, Syria, Iran,Jordan, Lebanon, Crimea, Kuwait, kazi kunyonya tuu wanakuuzia silaha kwa bei kubwa wakija kunyonya wese na gesi kodi matanga alafu wanakuambia tutakulinda na maadui mtu wangu.

Marekani sasa kaka mtu ndio kabisa jambazi anatumia world benk na IMF kama sehemu ya kutakatishia pesa ,anaprint dola anawapa mkopo ,mnarudishia hela halali,naye ana jikampuni linaitwa brother oil, full kunyonya tu.

Nyie shabikieni wakati hakuna mtanzania hajawahi ibiwa na hawa jamaa.

Nikwambie tuu Urusi ni kitu kimoja na USA .
Hiyo ni akili mtu wangu akiliiiii
 
Huu ni mpango maalum wa wa west kutaka kuicontroo dunia watakavyo hapa ukiangalia kwa jichi la mwewe rashia kaingizwa kwenye 18 bila kujijua
 
Back
Top Bottom