Hawa mbwa hawana urafiki na mtu wasiyemfahamu. Ulinzi Shirikishi niliwakatalia baada ya kuwa naibiwa home then wanataka niwachangie mwisho wa mwezi

Hata mayai yao hayapatikani?
 
Ila still mbele ya vibaka wa bongo unaibiwa na mbwa wamelala tu wanamlinda kibaka.
Boss inategemea na aina ya mbwa. Ka hawa wa mtaani sawa. Ila hii mimbwa mikubwa mikubwa ni hatari na ukute yupo trained don't dare kuingia hiyo nyumba.
Hawa rotweiller, sijui bulldog, mallnois achana nao.
Hata mmiliki ukimzingua anakutia discpline.....
Kuna breed ni hatari....
 
Hii inakaaje,wanakuja vibaka wanashika k ya mbwa jike wakifika kwenye mbwa mkali wanamnusisha mbwa akili yote uamia huko vibaka wengine uzama ndani.
 
Hivi kuna raha gani ya kufuga mijibwa kama hii? To my view, faida ni 5%, Usumbufu 95%
Ulinzi ulinzi kitu gani? Nini faida ya maisha, Mali nyingi au maisha yenye kustarehesha na usingizi mtaaaamu!
"Usingizi wa mtu maskini ni mtamu sana kuliko wa mtu tajiri"
 
Endelea tu kushangilia hapa lakini kuna siku jambo moja kati ya mawili yatatokea.

Siku ambayo watakuwa wameshiba na mnaowalea mkawa hampo wataua karibu watu wote wa karibu na hasa watoto.

Siku hawakushiba wataanza na nyie walezi kuwafanya kitoweo kisha kisanga kitahamia kitaa.

Nawajua sana hao madanga wa mbwa. Kuna mshikaji wangu walimkata koromeo na baada ya hapo tuliita watu kutoka wanyama pori tukawaunguza wote. Alikuwa akiwasifia na kulala nje wakati wa joto, kumbe siku hiyo hawakushiba, walichomfanyia ni kumpeleka kwa Yehova kujibu mashtaka ya kuwashindisha njaa.

Tunaomba siku wakiku tweet uje hapa usifie utamu wa meno yao.
 
SI ndo hawa huwa restisha in peace wamiliki wao !
 
Kama kuna story ya kiongozi mmoja au Mzee maarufu kidogo kung'atwa na mbwa wake,najaribu kukumbuka lakini kumbukumbu haziji.Nilikuwa najiiuliza aling'atwaje na mbwa wake,kumbe situation huwa kama hii
 
Kama kuna story ya kiongozi mmoja au Mzee maarufu kidogo kung'atwa na mbwa wake,najaribu kukumbuka lakini kumbukumbu haziji.Nilikuwa najiiuliza aling'atwaje na mbwa wake,kumbe situation huwa kama hii
Kingunge ngombale mwilu.
 
Umasikini ni kitu kibaya sana, hakuna masikini analala usingizi mtamu.
 
Hii inakaaje,wanakuja vibaka wanashika k ya mbwa jike wakifika kwenye mbwa mkali wanamnusisha mbwa akili yote uamia huko vibaka wengine uzama ndani.
Mtafute huyu jamaa alafu kajaribu hiyo mbinu yako uje utupe hapa ushuhuda!
 
napenda mbwa lakini hiyo jamii no aisee... kifo hicho wanaweza kuu mtu ndani ya dakika chache hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…