GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
- Thread starter
- #81
Joseverest ni mmoja ya jamaa ambao wapo cool sana humu JF. Mi binafsi sijawah hata msoma akitumtukana mtu. Na sipendi kabisa nione mtu anamsema vibaya huyu jamaa yangu wa peace and love. Kuna watu humu JF ingebidi wazaz wao wakaulize kwa wazaz wa jose namna gan walimlea huyu kijana wao.
Na sasa natangaza kabisa atakayemsema vibaya jose ataozea segerea. Na sitanii... Msidhan mpo free to that extent. Jamaa hana makuu...ana upendo sana, hana matusi... Badala ya kuwaza namna gani mnaweza mpatia dada zenu (kama hajaoa) walio wazuri na wenye heshima ninyi mnaleta kebehi. Na wadada wa humu mumheshimu sana jose na mimi. Achaneni na wanaume wahuni wahuni wazee wa fix n.k
Na sasa natangaza kabisa atakayemsema vibaya jose ataozea segerea. Na sitanii... Msidhan mpo free to that extent. Jamaa hana makuu...ana upendo sana, hana matusi... Badala ya kuwaza namna gani mnaweza mpatia dada zenu (kama hajaoa) walio wazuri na wenye heshima ninyi mnaleta kebehi. Na wadada wa humu mumheshimu sana jose na mimi. Achaneni na wanaume wahuni wahuni wazee wa fix n.k
sasa wakuu nahusikaje hapo mimi? Lini imeshatokea nikamfuata mtu inbox kuhusiana na hiyo ishu