Hawa mtibwa wanatutia aibu

Hawa mtibwa wanatutia aibu

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Ni mapumziko hapa Chamanzi Kcca wakiwa wanaongoza kwa goli 1-0 huku mtibwa wakionyesha kiwango kibovu kabisa kuanzia benchi la ufundi hadi wachezaji ndani.

Kwa mpira huu ni ngumu sana vilabu vya Tz kutosajili wachezaji na makocha wa nje ya Tz maana wachezaji wetu wanareflect viwango halisi vya soka letu.

KILA LA HERI MTANZANIA MWENZETU HASSAN KESSY HAPO KESHO
 
Karma hiyoo, hiyooo nafasi ilikuwa na mwenyewe ila karia na wahuni wenzake wakaamua kumfanyia figisu ‘aliyekuwa na hiyo nafasi’ matokeo yake mtibwa analipia ’
 
Naelewa unaposema kuwa Mtibwa wanatutia aibu Watanzania; ila kwangu mimi hilo ni dalili ila SIO CHANZO cha tatizo. Naona aibu zaidi kwa kuwa hatujifunzi ili kujua chanzo cha matatizo tuliyo nayo leo Watanzania ni nini?
 
Naelewa unaposema kuwa Mtibwa wanatutia aibu Watanzania; ila kwangu mimi hilo ni dalili ila SIO CHANZO cha tatizo. Naona aibu zaidi kwa kuwa hatujifunzi ili kujua chanzo cha matatizo tuliyo nayo leo Watanzania ni nini?
Aibu kubwa inakuja kesho hapo ndio tutajifunza
 
Vyura wamesahau msimu huu wao walipigwa 7-1 na Gormahia nyumbani na ugenini. 4-0 Kenya na 3-1 nyumbani. 2-1 dhidi ya Township Rollers leo wanawacheka Mtibwa. Kweli nyani haoni kundule.
 
Vyura wamesahau msimu huu wao walipigwa 7-1 na Gormahia nyumbani na ugenini. 4-0 Kenya na 3-1 nyumbani. 2-1 dhidi ya Township Rollers leo wanawacheka Mtibwa. Kweli nyani haoni kundule.
Mungu ibariki Nkana na Bwalya wake
 
Ngoja kesho washuhudie kaka zao tunavomaliza biashara mapemaa kwa wale wakina "Mulishani" "bwin0"
 
Back
Top Bottom