GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mosi.
Nawaomba wale ' Wajumbe ' wanne ( 4 ) wa TFF ambao kimsingi wameshajulikana kuwa na wao walikuwa wanafaidika nae hasa kwa ' mtonyo / pesa ' na ndiyo maana wameharibu kabisa ' mchakato ' wote wa Uchaguzi Mkuu kwa kuendelea ' kung'ang'ania ' Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi ajadiliwe na ikibidi agombee kuwa muda wowote kuanzia sasa waitishe Press Conference na waseme rasmi kuwa wanakubaliana na Mwenyekiti Revocatus Kuuli na kwamba Jamal E. Malinzi safari yake iishie hapo.
Pili.
Namwomba Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi kama anaweza tena kupitia yule Wakili wake Ndugu Aloyce Komba amwambie kuwa ameamua rasmi kuachana na TFF na kwamba hatogombea tena Urais kama ambavyo anaendelea ' kung'ang'ania ' huku akiharibi ' mchakato ' mzima kwa kuendelea kuwatumia hao ' Wajumbe ' wanne ( 4 ) kwa ' maslahi ' ambayo Wao na Malinzi wanayajua.
Kuna Watu siku ya Alhamisi baada ya akina Malinzi kupelekwa ' rumande ' niliposema kuwa Malinzi asicheze na ' System ' na kwamba akiendelea ' kubishana ' au ' kushindana ' nayo ' ataumia ' Yeye hawakuniamini wala kunielewa.
Nilienda mbele nikatahadharisha kuwa ' System ' ipo nyuma juu ya hili na inacheza ' Karata ' zake vizuri mno kiasi kwamba endapo wakiona Malinzi ' hasalimu ' amri kwa kuwa mpole na ' kujiondoa ' katika ' Kinyang'anyiro ' itakula Kwake na nikasema kuwa leo hatoweza kutoka kama ambavyo wengi wenu mlidhani na badala yake ili kuzidi ' Kumkomoa ' na kumuharibu zaidi ' Kisaikolojia ' leo tena Kesi yake inapigwa Kalenda ili kupima ' Upepo ' na kama Malinzi akizidi kujifanya ' Mjeuri / Kiburi ' basi kuna uwezekano akawa ' mkazi wa kudumu ' hapo Segerea.
Mwisho namalizia tu kwa kusema kuwa endapo ' Wakili ' wa Malinzi ataitisha Mkutano na Waandishi wa Habari na kutangaza kuwa ' Mteja ' wake Rais Jamal Emil Malinzi ameamua rasmi kuachana na Kugombea Urais TFF katika Uchaguzi Mkuu ujao wa August 12, 2017 basi ' nawahakikishieni ' kuwa siku ya Kesi yako kutajwa tena tarehe 17, July 2017 atapewa dhamana na tutakuwa nae mtaani.
Yangu ni hayo tu ila hapana chezea ' System ' kama ' ikikutafuta '.
Nawaomba wale ' Wajumbe ' wanne ( 4 ) wa TFF ambao kimsingi wameshajulikana kuwa na wao walikuwa wanafaidika nae hasa kwa ' mtonyo / pesa ' na ndiyo maana wameharibu kabisa ' mchakato ' wote wa Uchaguzi Mkuu kwa kuendelea ' kung'ang'ania ' Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi ajadiliwe na ikibidi agombee kuwa muda wowote kuanzia sasa waitishe Press Conference na waseme rasmi kuwa wanakubaliana na Mwenyekiti Revocatus Kuuli na kwamba Jamal E. Malinzi safari yake iishie hapo.
Pili.
Namwomba Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi kama anaweza tena kupitia yule Wakili wake Ndugu Aloyce Komba amwambie kuwa ameamua rasmi kuachana na TFF na kwamba hatogombea tena Urais kama ambavyo anaendelea ' kung'ang'ania ' huku akiharibi ' mchakato ' mzima kwa kuendelea kuwatumia hao ' Wajumbe ' wanne ( 4 ) kwa ' maslahi ' ambayo Wao na Malinzi wanayajua.
Kuna Watu siku ya Alhamisi baada ya akina Malinzi kupelekwa ' rumande ' niliposema kuwa Malinzi asicheze na ' System ' na kwamba akiendelea ' kubishana ' au ' kushindana ' nayo ' ataumia ' Yeye hawakuniamini wala kunielewa.
Nilienda mbele nikatahadharisha kuwa ' System ' ipo nyuma juu ya hili na inacheza ' Karata ' zake vizuri mno kiasi kwamba endapo wakiona Malinzi ' hasalimu ' amri kwa kuwa mpole na ' kujiondoa ' katika ' Kinyang'anyiro ' itakula Kwake na nikasema kuwa leo hatoweza kutoka kama ambavyo wengi wenu mlidhani na badala yake ili kuzidi ' Kumkomoa ' na kumuharibu zaidi ' Kisaikolojia ' leo tena Kesi yake inapigwa Kalenda ili kupima ' Upepo ' na kama Malinzi akizidi kujifanya ' Mjeuri / Kiburi ' basi kuna uwezekano akawa ' mkazi wa kudumu ' hapo Segerea.
Mwisho namalizia tu kwa kusema kuwa endapo ' Wakili ' wa Malinzi ataitisha Mkutano na Waandishi wa Habari na kutangaza kuwa ' Mteja ' wake Rais Jamal Emil Malinzi ameamua rasmi kuachana na Kugombea Urais TFF katika Uchaguzi Mkuu ujao wa August 12, 2017 basi ' nawahakikishieni ' kuwa siku ya Kesi yako kutajwa tena tarehe 17, July 2017 atapewa dhamana na tutakuwa nae mtaani.
Yangu ni hayo tu ila hapana chezea ' System ' kama ' ikikutafuta '.